Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa nini hamkushinda zaidi ya tano?Presha ilikuwa kwa yanga maana walitakiwa kushinda goli zaidi ya tano kwenye gemu ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini hamkushinda zaidi ya tano?Presha ilikuwa kwa yanga maana walitakiwa kushinda goli zaidi ya tano kwenye gemu ile
Tangu lini 🐸🐸wakaweza kupiga penati?Na mkahuzunika kama paka wajane hadi penati nazo mkashindwa kufunga?
Hayo ndio makosa uki review goal kwa var maana yake umekubali kwanza ni goal ila unaangalia kama kulikuwa na offside ,foul,handball.VAR aiangalii MPIRA UMEVUKA goal lineNini maana ya VAR goal revi
Watu wanawazaga kwa kutumia nini sijui?
mkuu nitumie hii vdeo na mm nisikie
Goal line technology na sio kitu kigeni ,wazungu sio wajinga kutumia hii technologyLeta solutions sasa kwa huo utaalamu wako
Umeenda Fainal umekatazwa kushiriki?Kama hawataki timu nyingine zishiriki fainali basi waseme tu
Mbona wenzenu waliwanyuka 5 na hakuwa na presha ya gemu?Kwa sababu yabpresha ya gemu
Hapa mkuu tunajadili madhaifu ya CAF na sio simba wala yanga.Kisa goli la yanga??
Acheni kwenda na upepo vijana wa jangwani, kulikua na namna nyingi za kushinda.
Mmenda hadi kweny penalties nako mmeonewa??
Sema tu tushukuru tumepata chaka la kujifichia. (Goli la Azizi ki)
Kwa hiyo mlikuwa hamjiamini?Hawakuwa na presha sababu walipaswa kushinda tano.
Sisi tulipaswa kushinda zaidi ya tano na sababu ya presha yetu tukaishia kufunga tano tu