n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Wanazo resources ambazo haziko organized. Dawa yao ni kuungana,ila kwa style hii ya kila mtu kugombea minofu michache kwenye sinia watasubiri Sana.Kumbuka vyama vya upinzani havina rasilimali vya umma . Kwa hiyo udhaifu unaouona ni hali halisi ya nchi .
Umeongea point mkuu, nimekuwa nikiwauliza ACT wana nini cha kunganisha na CDM hata bendera tuu mtaani hakuna, vilevile malengo ya kuanzishwa kwa ACT nacho ni kikwazo tosha.Yaani nashukuru cdm waligoma kuungana na huyu mzee wa ccm, vinginevyo hii idadi ya watu anaopata Lisu, ccm wangesema cdm ilikuwa imekufa, lakini uwepo wa Membe ndio umeleta watu. Kuna watu huwa ninawaambia kabisa hata mafuriko ya Lowassa hayakumfuta Lowassa, bali Lowassa ndio alifuata kundi la mabadiliko ambalo liko cdm. Iwapo Lowassa angekosea ile 2015 aende chama kingine nje ya cdm, angepata aibu kuliko hii ya Membe. Hata sifa wanayopata ACT ni kwa ajili ya uwepo wa Maalim Seif huko Zanzibar. Wafuasi wa upinzani wa kweli wako cdm kwa huku bara. Ile nyomi ya Membe kule Zanzibar alitembelea nyota ya Seif, ukweli huu Zito alikuwa anaujua ndio maana alikuwa anang'ang'ania muungano na cdm huku bara.
Angalia; unaposikia nchi flani vyama vimeungana na kukitoa chama tawala madarani hesabu zao huwa hivi, chama A kina wanachama wengi mfano mikoa ya kusini, chama B kiko zaidi Mikoa ya magharibi, chama C kiko mikoa ya kati na chama D kiko mikoa ya kasikazini na chama tawala chenyewe kinajitapata kwa kuwa na wanachama nchi nzima, sasa hivyo vyama ABCD vikiungana ni rahisi sana kukitoa chama tawala, kwa nchi yetu mazingira hayako hivo.Haya niambie unadhani ACT au CUF ni wapi imekita mizizi??Wanazo resources ambazo haziko organized. Dawa yao ni kuungana,ila kwa style hii ya kila mtu kugombea minofu michache kwenye sinia watasubiri Sana.
Kidogo Lisu anaweza kum challenge Magufuli ila siyo membeSijaelewa Ni kuwa ACT hawampi support ya kutosha au VIP?
Yaani Hili ndio Liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje?
Haya maisha yanaweza kumshinda kabla hata kampeni hazijaisha
View attachment 1559836View attachment 1559837
Huyu naye simwelewi kabisa, tamaa ya madaraka, alivyoona Lissu amekuja na amepita alitakiwa tu kumpisha waungane, ila tamaa inamponzaSijaelewa Ni kuwa ACT hawampi support ya kutosha au VIP?
Yaani Hili ndio Liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje?
Haya maisha yanaweza kumshinda kabla hata kampeni hazijaisha
View attachment 1559836View attachment 1559837
Heee we mmama vp. Kwa hiyo tusiwe na vyama vingiBasi asingehamia Upinzani Kama alikuwa analijua Hilo au wangeungana na wenzao wa Chadema, Ila naona ego yake kubwa ndio imemponza
Hahahahahaaaaaaaaa....
Afisa Kipenyo anadhalilika!
Jasusi mbobezi! Kachero wa Tanganyika..... Hahahahahaaaaaaa....
Yaani ahamie chama kingine kisa meza dhaifu? Maana ya harakati ni nini? Ni Meza?Basi asingehamia Upinzani Kama alikuwa analijua Hilo au wangeungana na wenzao wa Chadema, Ila naona ego yake kubwa ndio imemponza
Umetisha mwanawanwHuyo itafika time tuta mpa ile Microphone yenye speaker hapo hapo
Hipi ya wauza sumu za panya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]