Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #61
Duh, mnakataa hadi facts? Aliyesema Kigoma kuna maambukizi sio mimi wala familia yangu ambayo unaitaja hapa, ni VP last week, sasa kwakua unaropoka tu hujui kitu unamwamini MTU aliyekufa kwa Covid Haya sawaacha uchuro mzee wangu. kama una njaa na pesa za wazungu waambie unataka kuzika familia yako wakupe.
Mkuu, wale wamechanjwaAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Kwamba unataka watu wasife au!!! Tunatakiwa kufa ili wengine waishi, hata sisi hatubishaniMwisho wa andiko langu nimesema.hivi SIBISHANI
Una akili kuliko Shule. Big up CCM ndio agenda yaoKwamba unataka watu wasife au!!! Tunatakiwa kufa ili wengine waishi, hata sisi hatubishani
Naona sasa wanataka kukishuhudia watani zangu Waha.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
😁😁Kwamba unataka watu wasife au!!! Tunatakiwa kufa ili wengine waishi, hata sisi hatubishani
NUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Mkuu japo umeandika Kisasa zaidi.N
Mpaka Sasa Haku a mqana huo kafa form six kafa, for. Four kafa, watakaojichanganya Na qaf
Wafe ikiwa hawakuqa wangaluru
Mbona Siku ya kumuaga marehemu Magufuli ,kwa siku NNE.Ilisemekana kuna Covid na watu watakufa sana.Lakini hakuna kilichotokea.Mm nafikiri hii covid haiambukizi hivyo.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Kule wamechanjwa mzee babaAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
HAFI MTU ule ni MKUSANYIKO wa LAZIMA Corona ITAKIMBIA YENYEWESiandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
UK Imeondoaaa vizuizivyoteeeee ogopaakufaaSiandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Ila sie binadamu bhana..... Hivi ulikua na register ya watu wanaokufa nchini mpaka useme hakuna watu waliokufa? Au wewe ndo Malaika mtoa roho hadi umefikia hatua ya kujua statistics za watu waliokufa?Mbona Siku ya kumuaga marehemu Magufuli ,kwa siku NNE.Ilisemekana kuna Covid na watu watakufa sana.Lakini hakuna kilichotokea.Mm nafikiri hii covid haiambukizi hivyo.
Hujui wao ulaya wengi wamechanjwa?Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Nyie hamaga akili kbs nyie chademaUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Rubbish.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Wagonjwa chini ya mi2, acha uongo wewe ikiwa waziri kashasema tunakimbilia buku hukoUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.