Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Wakati corona ing'oa mibuyu
 
Tunawashangaa wanaohangaika wengine tulishaamua ni Mungu tu! Kwenye kila jambo
 
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Nimeamini
 
Utabiri wa hali ya hewa huwa accurate kwa 90% hio 10% ni if all other factors remain constant
 
Yaani watahangaishwa mpk watakapokiri kuwa Yesu ni Bwana! Na bado ila tunawaombea!
 
kuna mtu hapa ananiambia leo kulikuwa na mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Quran
 
Kwahiyo hiyo HAARP yenyewe kutoka Alaska uko inajitengenezea vimbunga kama Katrina viipige Marekani. Ni sawa na kusema US Navy imelishambulia jimbo la Hawaii
 
Kwahiyo hiyo HAARP yenyewe kutoka Alaska uko inajitengenezea vimbunga kama Katrina viipige Marekani. Ni sawa na kusema US Navy imelishambulia jimbo la Hawaii
Mkuu unahitaji muda kukuelimisha,ni sayansi ya kiwango cha juu sana,kwa hiyo kama huna background nzuri ya sayansi ni vigumu sana kuelewa.
 
Inaweza kuwa kweli!! walitaka kutengeneza mazingira ili watu wawe wachache baharini ili mzigo upite!!
Kwahio wauza unga wanna watu wao hapo CNN.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Hao binadamu wapo everywhere na wana nguvu kubwa na ushawishi kuliko unavyodhani. ile namna walivyokuja walijua njia iko salama, sema tu kutakuwa na kirusi aliyeharibu mchango
 
... great scientific and academic explanation with vivid examples! Tumeelimika wengi asante Mkuu.
 
Kwa hiyo kwa maelezo yako Mungu huwa hasaidii kitu? Hana role yeyote?

Tambua kuna watanzania wanamuomba Mungu daima na sala zao husababisha nchi iponywe.
 
Kwa hiyo kwa maelezo yako Mungu huwa hasaidii kitu? Hana role yeyote?

Tambua kuna watanzania wanamuomba Mungu daima na sala zao husababisha nchi iponywe.
Nachosema Mungu ndio analeta matetemeko na vimbunga duniani hata kwenye nchi zenye dini kutuzidi..... Sasa kama sie tunajisifia tumepona sababu ya Mungu ndio nahoji ina maana kazi ya Mungu (Vimbunga) ina makosa? Kiasi kwamba isipokuja tunamshukuru "kutuepusha"?

Yes wa Tanzania wanaomba lakini pia msumbiji na madagascar huwa wanaomba ila kwao vimbunga ni kila mwaka je ina maana Mungu hawapendi? Au hawana maombi kutuzidi?

Tuache kujifanya tunamjua Mungu sana..... JPM si alikua anamtegemea Mungu!! Mbona amekufa? Ina maana Mungu hakuwa naye? Kama unakiri Mungu katuepusha na kimbunga basi kiri Mungu pia katuondelea JPM!! Maana zote ni kazi za Mungu kwa mujibu wa Quran na Biblia
 
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Inafikirisha, siasa za dunia ni kali! Ila Kama ni hivyo basi Tanzania bado tuko vizuri ki intelijensia maana hata wakati wa corona Kuna bidhaa ziliteketezwa kule Temeke huenda ndiomaana madhara hayakuwa makubwa saana kwetu
 
Watanzania tunapaswa kumshukuru sana Mungu kwa kuwa alitupatia Rais Magufuli aliyemtanguliza Mungu mbele katika mapambano dhidi ya corona! Waliojifanya kutanguliza sayansi mbele wote waliangukia pua!! Magufuli alimwamini Mungu kutuokoa na corona hadi pumzi yake ya mwisho! Tusitake kufanana na wengine!!
Marekani hawawezi kujifanya kuwa wanaweza kutusaidia wakati wameshindwa kujisaidia wenyewe! Tumesaidiwa na Mungu!
 
Mungu yupi sasa? Maana mnatuchanganya sana kuna mungu na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…