Kwa hawa Madaktari huko mbeleni tutapata tabu

Kwa hawa Madaktari huko mbeleni tutapata tabu

Hawajui kingereza lakini lazima wajue lugha moja Kati ya hizo.

Ki-spain
Kifaransa
Kirusi
Kireno
Kiarabu
Na kichina kidogo.

Kwa sababu material nyingi zimewekwa au kutafsriwa Kwa lugha hizo.

Hapa nchini uwezo wa kutafsri maandiko na vitabu vya kitaaluma Kwa Kiswahili ni kipengele.

Huko vyuoni kozi nyingi hufundishwa Kwa lugha ya kingereza, sasa Kama kingereza hujui utakuwaje mahiri??
Labda uwezo wa Kati tuu.

Sijui Kama umeelewa concept yangu.

Ni Kama vile Kozi ya sheria, unafikiri ingewekwa Kwa Kiswahili watu wangeiona ngumu?
Sasa shida ni kujua kingereza au kujua lugha zaidi ya moja? Mbona hueleweki unataka nini?
 
Huu uzi ni wa madaktar najua madaktar mtaingia humu kuusoma ebu naomba madaktar leo mnisaidie kitu

Unaweza kuta mtu anaumwa na ugojwa wake kulingana na kitua cha afya alipo hawez kutibika anatokea daktar anamshauri mgojwa akatibiwe kwa mganga wa kienyeji hii inatokea sana yan unakuta daktar au nesi anamuita mgojwa au ndg ya mgojwa af anamshauri kumtoa mgojwa hospital akatibiwe kienyeji

2) kuna ili suala la uzazi wa mpango unakuta daktar au nesi anamshauri mtumiaji wa dawa za uzazi wa mpango anamwambia sio nzuri zinazala wakiwa pembeni ila wakiwa ofsin daktar anakushauri utumie sasa km ni mbaya kwa nn madaktar hamjazikataa sku zimeletwa
 
Kuuumbee ndio maana mara nyingi wagonjwa wakipelekwa pale huwa hawarudi!!!!!
Nilikuwa nasikia kama stori tu kwa watu kwamba mgonjwa akipelekwa pale harudi akiwa mzima au hata akiwa mgonjwa bali anarudi akiwa marehemu lakini mwaka jana bibi yangu alipelekwa pale na alirudi na jina la marehemu.
 
Huu uzi ni wa madaktar najua madaktar mtaingia humu kuusoma ebu naomba madaktar leo mnisaidie kitu

Unaweza kuta mtu anaumwa na ugojwa wake kulingana na kitua cha afya alipo hawez kutibika anatokea daktar anamshauri mgojwa akatibiwe kwa mganga wa kienyeji hii inatokea sana yan unakuta daktar au nesi anamuita mgojwa au ndg ya mgojwa af anamshauri kumtoa mgojwa hospital akatibiwe kienyeji

2) kuna ili suala la uzazi wa mpango unakuta daktar au nesi anamshauri mtumiaji wa dawa za uzazi wa mpango anamwambia sio nzuri zinazala wakiwa pembeni ila wakiwa ofsin daktar anakushauri utumie sasa km ni mbaya kwa nn madaktar hamjazikataa sku zimeletwa
Yaani hao hawana imani na taaluma yao. Wametawaliwa na imani nyengine wapo hapo walipo kuganga njaa tu.
 
Sabato NJEMA!

Kuna madaktari waliotokea moja Kwa moja Kidato cha Sita kwenda kusoma MD, na wapo ambao wametokea Diploma(Clinical Officer, CO) kwenda kusomea MD.

Kiukweli nimeshtushwa mno baada ya kukutana na Baadhi ya Madaktari watarajiwa wasomao MD na wengine waliomaliza CO.

Mambo yaliyonishtua;

1. Hawajui Lugha ya kingereza.
Kuna kipindi nilifika Pale Mloganzila ambayo Kwa wasioijua ni sehemu ya Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo kimsingi madaktari wake inatakiwa wawe vipanga na wenye uwezo Mkubwa.

Madaktari waliomafunzoni walinishtua Sana Kwa kingereza Chao kibovu kilichowafanya mara Kwa mara kucheka CHEKA Kwa aibu.

Sitaki kuzungumzia Ma-CO, ambao wengi wao nao kingereza kinawapiga chenga.

Kuna watu watasema, kingereza sio muhimu kwani ni lugha Kama lugha zingine.
Kumbuka materials nyingi za Taaluma ya Udaktari zipo katika Lugha ya kingereza, kutokujua kingereza kutamfanya Daktari kutokuwa mahiri.


2. Clinical officers wa Zama hizi wengi wao sio mahiri, hawako competent katika Taaluma Yao.

Nikikutana na wahitiu wa Diploma ya Clinical officer katika Stori nikiwasabahi nikawauliza mmoja mmoja aelezee concept ya Physiology, mwingine aelezee concept ya anatomy, na mwingine aelezee jinsi damu inavyozalishwa ndani ya Mwili WA mwanadamu.
Unajua hizo ni concept ndogo Sana ambazo hata mwanafunzi wa Kidato cha nne na sita wanaweza Kueleza.

Lakini wakaishia kubwabwaja.


Ukienda baadhi ya Hospitali, madaktari hawajui ku-take patient History, baadhi Yao wanakulazimishia vitu ambavyo havikuumi.

Na hapa nazungumzia madaktari Vijana. Unakuta kijana CV kubwa lakini uwezo unatia Shaka.

Hakuna kitu kinakera Kama uende Hospitalini alafu ukute Daktari anauwezo mdogo katika Fani yake, yaani ukimsikiliza unagundua kabisa hapa hamna kitu.

Ni Sawa na Mwanafunzi afundishwe na mwalimu kilaza, yaani inakera Sana.

Ushauri wangu, siku hizi ukienda Hospitalini kuwa Makini Sana, madaktari wa siku hizi sio wakuwaamini [emoji817] hasa hawa Vijana.

Serikali iangalie Kwa umakini hivi vyuo vya Kati ambavyo ongezeko lake limekuwa kubwa.

Kuna watu hawatanielewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Unalo sema ni kweli ila linaanzia uko chini, mimi binafsi paka leo na shanga mtoto alie maliza f4 na kupata D4 anawezaje kusoma udakitari CO, kwanza vile vitabu vya medicine hawezi kutoa concept hailewi kabisa. Kiingereza hiki cha kawaida cha kuongea ni shida, àtaweza je kusoma na kuelewa vitabu vikumbwa kama atonomiology, kwa kweli mimi naona ni usani kwenye hivyo vyuo vya kati...........
 
Sabato NJEMA!

Kuna madaktari waliotokea moja Kwa moja Kidato cha Sita kwenda kusoma MD, na wapo ambao wametokea Diploma(Clinical Officer, CO) kwenda kusomea MD.

Kiukweli nimeshtushwa mno baada ya kukutana na Baadhi ya Madaktari watarajiwa wasomao MD na wengine waliomaliza CO.

Mambo yaliyonishtua;

1. Hawajui Lugha ya kingereza.
Kuna kipindi nilifika Pale Mloganzila ambayo Kwa wasioijua ni sehemu ya Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo kimsingi madaktari wake inatakiwa wawe vipanga na wenye uwezo Mkubwa.

Madaktari waliomafunzoni walinishtua Sana Kwa kingereza Chao kibovu kilichowafanya mara Kwa mara kucheka CHEKA Kwa aibu.

Sitaki kuzungumzia Ma-CO, ambao wengi wao nao kingereza kinawapiga chenga.

Kuna watu watasema, kingereza sio muhimu kwani ni lugha Kama lugha zingine.
Kumbuka materials nyingi za Taaluma ya Udaktari zipo katika Lugha ya kingereza, kutokujua kingereza kutamfanya Daktari kutokuwa mahiri.


2. Clinical officers wa Zama hizi wengi wao sio mahiri, hawako competent katika Taaluma Yao.

Nikikutana na wahitiu wa Diploma ya Clinical officer katika Stori nikiwasabahi nikawauliza mmoja mmoja aelezee concept ya Physiology, mwingine aelezee concept ya anatomy, na mwingine aelezee jinsi damu inavyozalishwa ndani ya Mwili WA mwanadamu.
Unajua hizo ni concept ndogo Sana ambazo hata mwanafunzi wa Kidato cha nne na sita wanaweza Kueleza.

Lakini wakaishia kubwabwaja.


Ukienda baadhi ya Hospitali, madaktari hawajui ku-take patient History, baadhi Yao wanakulazimishia vitu ambavyo havikuumi.

Na hapa nazungumzia madaktari Vijana. Unakuta kijana CV kubwa lakini uwezo unatia Shaka.

Hakuna kitu kinakera Kama uende Hospitalini alafu ukute Daktari anauwezo mdogo katika Fani yake, yaani ukimsikiliza unagundua kabisa hapa hamna kitu.

Ni Sawa na Mwanafunzi afundishwe na mwalimu kilaza, yaani inakera Sana.

Ushauri wangu, siku hizi ukienda Hospitalini kuwa Makini Sana, madaktari wa siku hizi sio wakuwaamini 💯 hasa hawa Vijana.

Serikali iangalie Kwa umakini hivi vyuo vya Kati ambavyo ongezeko lake limekuwa kubwa.

Kuna watu hawatanielewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Kwani kingereza kinatibu? Acha kuchosha watu, wewe mwenyewe fasihi hujui!
 
Na ukienda kwa hospital hiz hiz za kiafrica kuliko uhudumiwiwe na daktari mwenye kipili pili mwenzako utajuta

Afazali uuudumiw na madaktar waarabu au wahindi
 
Hawajui kingereza lakini lazima wajue lugha moja Kati ya hizo.

Ki-spain
Kifaransa
Kirusi
Kireno
Kiarabu
Na kichina kidogo.

Kwa sababu material nyingi zimewekwa au kutafsriwa Kwa lugha hizo.

Hapa nchini uwezo wa kutafsri maandiko na vitabu vya kitaaluma Kwa Kiswahili ni kipengele.

Huko vyuoni kozi nyingi hufundishwa Kwa lugha ya kingereza, sasa Kama kingereza hujui utakuwaje mahiri??
Labda uwezo wa Kati tuu.

Sijui Kama umeelewa concept yangu.

Ni Kama vile Kozi ya sheria, unafikiri ingewekwa Kwa Kiswahili watu wangeiona ngumu?
Hivi umesahau English ya prof Ndalichako aliyekuwa waziri wa elimu? English ya jiwe je (RIP) kingereza mkuu sio tija
 
Kwani kingereza kinatibu? Acha kuchosha watu, wewe mwenyewe fasihi hujui!
Maana ya mleta mada nikwamba madakitari wetu hawaja iva kitaaluma hata kudiagose na kuandika report ya mugonjwa ni shinda, wana bahatisha tu tunapona kwa kudra za Mungu tu
 
English is not a measure of intelligence.
Kuhusu kuwa competent siyo madaktari na COs tu, karibia maeneo mengi tuna watu (siyo wote) ambao wamekariri vitu juu juu, wanafanya kazi lakini hawajui wanachokifanya, Haya ni matunda ya elimu yetu toka msingi mpaka juu na pia kudahili wahitimu kwa kuangalia matokeo ya kwenye makaratasi

Student
 
Mimi naweza kuongea kiingerezakilichonyoooka safii bia chenga lakini sina fani yeyote zaidi u-upishi nilijifunza kiingereza vizuri nilipokuwa canada familia yote walikuwa wanaongea kiingereza mkmi tu ndo nilikuwa naongea kiswahii

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Juzi nilikua hospital, hao vijana wameshindwa choma/ weka ile kanule mara 3, anakuja huyu mara yule. Nilijaa sumu kwa mgonjwa wangu
 
Kuhusu Kiingereza, hilo ni janga la kitaifa [endapo kama unaithamini lugha hiyo].

Kiingereza hicho kibovu unachodai, kinaakisi uwezo wa Watanzania walio wengi.

Watanzania walio wengi lugha hiyo inawapiga chenga.

Hivyo hamna cha ajabu hapo. Watanzania kuongea Kiingereza kibovu ni jambo la kawaida sana.

Si ajabu hata wewe mwenyewe huongei Kiingereza kizuri kilichonyooka.

Just sayin’.
Nasimama na naunga Hoja
 
English is not a measure of intelligence.
Kuhusu kuwa competent siyo madaktari na COs tu, karibia maeneo mengi tuna watu (siyo wote) ambao wamekariri vitu juu juu, wanafanya kazi lakini hawajui wanachokifanya, Haya ni matunda ya elimu yetu toka msingi mpaka juu na pia kudahili wahitimu kwa kuangalia matokeo ya kwenye makaratasi

Student


Tufanyaje sasa?
 
Unalo sema ni kweli ila linaanzia uko chini, mimi binafsi paka leo na shanga mtoto alie maliza f4 na kupata D4 anawezaje kusoma udakitari CO, kwanza vile vitabu vya medicine hawezi kutoa concept hailewi kabisa. Kiingereza hiki cha kawaida cha kuongea ni shida, àtaweza je kusoma na kuelewa vitabu vikumbwa kama atonomiology, kwa kweli mimi naona ni usani kwenye hivyo vyuo vya kati...........


Na hoja yangu iko hapo kwenye D4
 
Back
Top Bottom