Kwa hawa viongozi wetu wa Afrika, nani kama Zelensky alivyowekwa mtu kati Pale white house

Kwa hawa viongozi wetu wa Afrika, nani kama Zelensky alivyowekwa mtu kati Pale white house

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
 
Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Waafrika na akili wapi na wapi!
 
Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?

America and Oval house are no nonsense zones!
 
Unamfahamu mtu anaitwa Mugabe, Nyerere, Nkurumah, n.k Hawa waliokuwa sio ndio mzee. Ila hawakuwa na majibu ya kifala kama huyo boya, walikua na diplomasia ndani yake
 
Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?

America and Oval house are no nonsense zones!
Sasa nani kadhalilika mkuu?

Aliyechagua kuwa thabiti na msimamo wake akiwa under tremendous pressure au wale walioshindwa kumbadilisha msimamo wake?
 
Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Huyo wa mwisho uliyemtaja, baada kikao kiti kitakuwa kinachuruzika mikojo
 
Sasa nani kadhalilika mkuu?

Aliyechagua kuwa thabiti na msimamo wake akiwa under tremendous pressure au wale walioshindwa kumbadilisha msimamo wake?
Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.

Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
 
Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Perhaps the leaders of Niger and Burkina Faso might possess the fortitude to emulate the actions undertaken by Ukraine's President recently. However, among our counterparts in Sub-Saharan Africa, there appears to be none who would dare to undertake such measures.
 
Ilikuwa ni CIRCUS nadhani, maarufu na ya kuvutia kwa 2025.
 
Wakienda kule kazi yao ni kukubali na sio kujadili
 
Huyo wa mwisho uliyemtaja, baada kikao kiti kitakuwa kinachuruzika mi
Wewe uko nyuma ya keyboard huonekan ila unaogopa,af wa kiume wewe acha mambo ya kina adija kopa mambo ya taarabu..taja majina nan apo unazungumzia.
 
Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.

Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
Kwani wale wapalestina wanaofanya ugaidi kila siku unafikiri iko siku watawashinda waisrael.😧😧
 
Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Angewasifia hadi kwa kupiga magoti
 
Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?

America and Oval house are no nonsense zones!
Nafikiri aliyedhalilishwa zaidi ni Trump, amevimbiwa hadharani tena kwenye himaya yake
 
Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.

Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
Zele mbona amesema wazi kabisa anataka amani na Ukraine ishiriki kwenye hayo makubaliano ya amani.

Kuhusu mavazi mbona amekua akivaa hivyo kipindi chote cha vita kama ishara ya support kwa wanajeshi wake
 
Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.

Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
unataka kila mtu avae makoti na tai mbona umekuwa mtumwa wa wazungu ww kiasi hiki ata hujielewi culture yako, Zelensky anapigania nchi yake na watu wake, wewe unataka kuleta mambo yenu huko gongolamboto, Trump ana ajenda na russia, ni rafiki wa Putin dalili zote zinaonyesha, aendelee kuchukuliwa eneo lake la ardhi ili kukwepa vita 3 isitokee., Vipi ikitokea Tz inamegewa eneo lake la ardhi mutatulia? ni upuuzi tu ulioandika hapa
 
Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?

America and Oval house are no nonsense zones!
Zelensky hajazalilishwa, walijaribu kumdhalilisha lakini mwamba akasimama imara kutetea heshima yake na nchi yake, angekaa kiboyaboya kama walivyodhania Trump na Vence angedhalilika kweli.
 
Unamfahamu mtu anaitwa Mugabe, Nyerere, Nkurumah, n.k Hawa waliokuwa sio ndio mzee. Ila hawakuwa na majibu ya kifala kama huyo boya, walikua na diplomasia ndani yake
lini umeona video ya hao wazee wamewekwa mtu kati kama Zelensky pale white house na wakakoromeana uso kwa uso na POTUS?
 
Unamfahamu mtu anaitwa Mugabe, Nyerere, Nkurumah, n.k Hawa waliokuwa sio ndio mzee. Ila hawakuwa na majibu ya kifala kama huyo boya, walikua na diplomasia ndani yake
Wewe ni kiboboru kabisa
 
Back
Top Bottom