Waafrika na akili wapi na wapi!Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Sasa nani kadhalilika mkuu?Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?
America and Oval house are no nonsense zones!
Huyo wa mwisho uliyemtaja, baada kikao kiti kitakuwa kinachuruzika mikojoWakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.Sasa nani kadhalilika mkuu?
Aliyechagua kuwa thabiti na msimamo wake akiwa under tremendous pressure au wale walioshindwa kumbadilisha msimamo wake?
Perhaps the leaders of Niger and Burkina Faso might possess the fortitude to emulate the actions undertaken by Ukraine's President recently. However, among our counterparts in Sub-Saharan Africa, there appears to be none who would dare to undertake such measures.Wakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Wewe uko nyuma ya keyboard huonekan ila unaogopa,af wa kiume wewe acha mambo ya kina adija kopa mambo ya taarabu..taja majina nan apo unazungumzia.Huyo wa mwisho uliyemtaja, baada kikao kiti kitakuwa kinachuruzika mi
Kwani wale wapalestina wanaofanya ugaidi kila siku unafikiri iko siku watawashinda waisrael.😧😧Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.
Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
Angewasifia hadi kwa kupiga magotiWakuu, kilichotokea pale white house kati Zelensky dhidi ya Rais wa Marekani na Makamu wake ambapo Zelensky kagomea hadharani bila woga matakwa ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani, na ilifika wakati akabishana nao miamba hao tena wakiwa ndani ya himaya yao, je unadhani kiongozi gani wa Afrika anaweza hicho kitu? au kwa mfano kwenye kiti cha Zelensky muweke Mama kawekwa mtu kati na Rais wa Marekani na Makamu wake.
Nafikiri aliyedhalilishwa zaidi ni Trump, amevimbiwa hadharani tena kwenye himaya yakeLaiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?
America and Oval house are no nonsense zones!
Zele mbona amesema wazi kabisa anataka amani na Ukraine ishiriki kwenye hayo makubaliano ya amani.Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.
Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
unataka kila mtu avae makoti na tai mbona umekuwa mtumwa wa wazungu ww kiasi hiki ata hujielewi culture yako, Zelensky anapigania nchi yake na watu wake, wewe unataka kuleta mambo yenu huko gongolamboto, Trump ana ajenda na russia, ni rafiki wa Putin dalili zote zinaonyesha, aendelee kuchukuliwa eneo lake la ardhi ili kukwepa vita 3 isitokee., Vipi ikitokea Tz inamegewa eneo lake la ardhi mutatulia? ni upuuzi tu ulioandika hapaZelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.
Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
Zelensky hajazalilishwa, walijaribu kumdhalilisha lakini mwamba akasimama imara kutetea heshima yake na nchi yake, angekaa kiboyaboya kama walivyodhania Trump na Vence angedhalilika kweli.Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?
America and Oval house are no nonsense zones!
lini umeona video ya hao wazee wamewekwa mtu kati kama Zelensky pale white house na wakakoromeana uso kwa uso na POTUS?Unamfahamu mtu anaitwa Mugabe, Nyerere, Nkurumah, n.k Hawa waliokuwa sio ndio mzee. Ila hawakuwa na majibu ya kifala kama huyo boya, walikua na diplomasia ndani yake
Wewe ni kiboboru kabisaUnamfahamu mtu anaitwa Mugabe, Nyerere, Nkurumah, n.k Hawa waliokuwa sio ndio mzee. Ila hawakuwa na majibu ya kifala kama huyo boya, walikua na diplomasia ndani yake