Ulitaka nyerere aangalie tu alipovamiwa na Amin?Zelensky alizingua big time,Kwanza uvaaji wake ulikuwa wa hovyo Sana anavaa kama mtu anayeenda vitani.
Trump alimwambia anacheza na vita ya 3 ya Dunia and yet he doesn't have the cards.
Kiufupi, Zelensky ni mjinga Sana anajifanya mjuaji na Hana lolote.
Anang'ang'ania kupigana vita ambayo yeye mwenyewe anajua hawezi kuishinda.
jamaa ni kiongozi kwelikweli, haogipi beberu wala diktetaBaada ya kutoka White House akaenda Fox News katika kipindi cha special report kufanyiwa mahojiano, kwa kweli rais Zelensky hakuwa amekurupuka kwenda Marekani. Vyombo vyake vya Ukraine vitengo vya kidiplomasia na ujasusi wa nje walimtayarishia rais taarifa sahihi nini atakumbana nacho na vilevile jinsi ya kukabiliana nacho bila kutiwa unyonge au kutikiswa
DAKIKA ZINGINE 23 STUDIO BAADA YA KUTOKA IKULU YA MAREKANI AKIFAFANUA MAMBO KWA UTULIVU
View: https://m.youtube.com/watch?v=GfqLcBwUT_E
lini umeona video ya hao wazee wamewekwa mtu kati kama Zelensky pale white house na wakakoromeana uso kwa uso na POTUS?
hakuna mkataba wa kiuchumi wa nchi na nchi unasainiwa UN, UN ni sehemu huru ya kuzungumza, nisaidie kavideo ka hao wazee wako uso kwa uso na POTUS wakapandisha kibesi, wqkagomea mkataba na kusepa.Sasa G.z mtajua wapi tafuta zipo clip za kutosha hasa kwenye UN General meetings. Ukishindwa sema msaidiwe
Well ita depend na utawala, the way trump na wenzie walivyo handle situation wameaibisha oval office, is why comments nyingi kwa wa america wenyewe they see kama zelensky aliji hold zaidi, alitulia zaidi wkt wenyeji wakipayukaLaiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?
America and Oval house are no nonsense zones!
Viongoz wetu wakipigwa haya maswali wanaweza pandwa na hasira wakatukana. What a class zelenskyjamaa ni kiongozi kwelikweli, haogipi beberu wala dikteta
Sasa pale nani kadhalilika mkuu? au huwa unaelewa mambo kinyume nyume 😄Laiti ungelijua jinsi huyo Zelensky usingeandika huu upuzi wako.
Swali la kujiuliza ni je, kama Zelensky alidhalilishwa kiasi kile ingekuwaje kwa kiongozi yeyote WA kiAfrica?
America and Oval house are no nonsense zones!
Labda wapandwe na hasira na kutukana waandishi wa habari, mbele ya POTUS wanakuwaga kama mwanafunzi mbele ya mwalimu, full kunywea, kujichekeshachekesha tu na kukubaliana na kila kitu.Viongoz wetu wakipigwa haya maswali wanaweza pandwa na hasira wakatukana. What a class zelensky