Uchaguzi 2020 Kwa hii hotuba ya Tundu Lissu Segerea, amepotosha

Uongo huo Joka kuu. Mimi ninaishi hapa Canada hakuna kitu kama hicho.
Mkuu Bora umenisaidia anadhani humu jf hakuna mtu anayeishi canada, Hawa cdm waongo sana
 
Uwanja wa chato ni kakiwanja?
akikusikia barafu atakushangaa sana
JPM kama rais anayo ndege yake ya Rais ni kama RC au DC anavyokuwa na gari lake, na akistaafu atapewa hadhi sawa na rais aliyeko madarakani kwa 70% na anataka akaishi chato kuna tatizo gani akiwa na uwanja wa ndege wake? mnataka akae mikocheni kama warioba kila siku kwenye makongamano mwishowe anaanza kupigwa mitama,

GGM wana ndege na wana uwanja wao, Buzwagi wana ndege wana uwanja wao, kesho Lissu anaenda kahama ataenda kupiga show kama zuchu atatua uwanja wa mtu binafsi wa Buzwagi, shida iko wapi? Hivi unaujua uwanja binafsi wa Trump? Cyril Ramaphonsa? Tuache roho ya umasikini hata Bhakresa akinunua ndege tutamjengea uwanja. Grumet game reserve wana uwanja wao, hata kule nzela Geita upo uwanja wa missionary Woolworth, kule murwagwanza ngara upo uwanja wa ndege wa wa missionary wa ki Anglicana.

Mnaongelea mtu kuwa na uwanja wa ndege ni jambo la ajabu ni mawazo ya kimasikini tu, zamani tulikuwa tunaambiwa usijenge nyumba ya bati kijijini utarogwa. Leo tunataka kumroga JPM kisa uwanja wa ndege, mbona tunadhalilisha nchi hivi? Hata world bank wakisikia tunabishania uwanja wa ndege watatucheka.
 
 

Hivyo viwanja vyote bimejengwa na serikali au pesa zao wenyewe? Na je unafahamu wanailipa serikali kiasi gani?
 
Hivi tanesco wanaponunua nguzo mikataba unaenda bungeni? Tanroad wanaponunua mizani mikataba unaenda bungeni? Ukarabati wa mv victoria mikataba ulienda bungeni? Au ndege ndio mumeona nyara ya serikali? Hivi Ni njaa tu zinawasumbua
Duuuh kweli wee pimbi aisee ..vyote hvyo vinakuwa vimeelekezwa kwa maandishi na wizara ya ujenzi ..kuanzia ukarabati hd manunuzi ..Sasa linapokuja suala la kununua kitu nje ya malengo lazima bunge na wenye akili wahoji ...poleeee
 
Mleta mada nenda kapande kwenye jukwaa ukamrekebishe Lissu.
Huku sisi wengine ni yeye2020
Hatuhitajji kusikia utopolo wa aina yeyote.))
 
Thanks. Good analysis.
 
Acha uongo wee mzee , unajengewa bure? Duuuh uongo unakusaidia nn ??
 
Lissu anapiga palepale kwenye mshono CCM wamechanganyikiwa.Ukiangalia Kampeni za Lissu watu wanamsikiliza kwa makini mno.Tofauti na Kampeni za CCM watu wanapiga tu makofi hata kilichoongelewa hawajui.Ndiyo maana mtu wa CCM hawezi kuwa na hoja ya maana
 
Hawalipwi ww acha uongo ..bwawa la Rufiji nalo wanazungusha hela kwenye mabenki? SGR hawalipwi na serikali ndo maana mradi unasuasua ..wangekuwa wanalipwa serikali isingekuwa ina kaa kimya kuona mradi umesimama ..acha hizo ww
 
umeongea mkuu mwenye akili timamu amekuelewa wabaki tu hao wenye mapenzi na lissu ambaye anaongea vitu ambavyo havitekelezeki anajifanya ana akili nyiiiingiiii kumbe maneno matuu
Hata Elimu bure mlisema ni kitu hakiwezekani, nyie akili zenu ni Utupolo mtupu
 
Hivi tanesco wanaponunua nguzo mikataba unaenda bungeni? Tanroad wanaponunua mizani mikataba unaenda bungeni? Ukarabati wa mv victoria mikataba ulienda bungeni? Au ndege ndio mumeona nyara ya serikali? Hivi Ni njaa tu zinawasumbua
Ndio mkuu kupitia Kamati za kudumu za bunge kisecta na riport ya CAG, pamoja na budjet ya wizara husika,
Bungeni hapakwepeki mkuu
 
Unajua kuwa kwenye manunuzi ya ndege hata CAG haruhusiwi kukagua?
Manunuzi ya ndege Hil,o Ni deal la jiwe na Paulo k, wa rwanda vyanzo vya habari vinadai 10% ilipitishwa Rwanda, PK ameizuia Jiwe amefuta kwa hasira
 

Mbona hakuna ulichomjibu

1. Ameuliza uwanja wa chato umeshakamilika mbona ATCL haiendi huko kuna shida gani hujajibu,

2. Ameuliza tender ya kununua ndege ilitangazwa wapi na nani ameona mikataba yake na kuna masharti gani ndani yake hujajibu chochote

3. Ameuliza mbona deni la taifa limeongezeka kwa kasi ya ajabu na huku tunajinafasi kuwa tunatekeleza miradi kwa pesa zetu za ndani hakuna jibu

4. Amekuuliza tanzania imefikia uchumi wa kati iweje wafanyakazi hawaongezewi mishahara hakuna jibu

sasa ni hoja gani umemjibu katika hilo andiko lako
 
Hakuna tatizo kujenga daraja baharini kuelekea Oceam Road lakini kama ingekuwa tuna uhuru wa kuchagua hiyo pesa ingefaa kutumika kujenga daraja kutoka Magomeni Mapipa mpaka Fire kwani mafuriko hufanya barabara ya Jangwani kupitika kwa msimu WHILE kule Sarender barabara ipo, labda kwa hapo baadaye.
 
Hivi tanesco wanaponunua nguzo mikataba unaenda bungeni? Tanroad wanaponunua mizani mikataba unaenda bungeni? Ukarabati wa mv victoria mikataba ulienda bungeni? Au ndege ndio mumeona nyara ya serikali? Hivi Ni njaa tu zinawasumbua
Wewe ndiyo njaa inakusumbua umejitoa fahamu zote vyote hivyo vilipaswa kupitishwa na bunge, sasa ngoja huyo mtukufu atoke madarakani kesi za ufisadi, kutumia madaraka vibaya ziwandame ndipo fahamu zitakurejea, CCM ni ile ile Ukoo wa panya
 
unatoa maelezo ya kitoto sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…