Mkuu unajua kuwa rais wako anaitwa Samia?kwahyo kwakua wanawake kadhaa wamekuzidi jambo hili au lile inahalalisha wewe kutotimiza majukumu yako unasubiri watimize wao !?
Pia unajua wanawake hao unaowasifia kunizidi wengi wamerithi tu mali, au mgawanyo wa mali baada ya talaka, alomony nk.
Mario ni mario tu you dropped your brain in the mud when you were running to be aided up by a bitch.
Hamas wanatumia watoto na wanawake kama kinga yaoAnhaa!
Sasa Israel inapiga nyumba ya wanamgambo bila kujua kuwa kuna wanawake na watoto?
Zipo sehem za kupigania sema huyo myahidi anaona watu wote ni magaidi mpaka WANAWAKE na watotoWanapigana wakiwa wapi?
Wanaume wanauliwa wengi tu ila nipropaganda za baadhi ya vyombo vya habari mfano Aljazeera kudai wanawake na watoto ndio wanaokufa zaidi.Wakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas..
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je wanakuwa wanapigana?
Je wamekimbia na kuacha familia yao?
Je wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
sMkuu unajua kuwa rais wako anaitwa Samia?
Spika wa bunge lako je unamjua?
Hatufanani nao ila ndio hivyo tena
sasa huyo aliyeupata urais kwa bahati na wala sio kwa uwezo wake nae ni rais, kila kitu anapuyanga tu utamsikia "na hili mkalitizame"Mkuu unajua kuwa rais wako anaitwa Samia?
Spika wa bunge lako je unamjua?
Hatufanani nao ila ndio hivyo tena
Wanawatumia kama kinga ili waonewe huruma. Ila walipovamia Israel wafanya sherehe ila sasa mhh inasikitisha. Hii vita ni ya mindset zaidiWakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas.
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je, wanakuwa wanapigana?
Je, wamekimbia na kuacha familia yao?
Je, wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je, Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
kumsaidia mwanaume ni kumzalia watoto na kuwalea maana mwanaume hawezi kuzaa na kunyonyesha huo ndio msaada wake, yani kuendeleza uzao wa mwanaume sio msaada wa wewe ukilima matuta mawili na yeye akusaidie matuta mawili, au eti akusaidie kukulinda wewe wakati wa majanga dute wewe ndio umlinde.Kwani lengo la Mwanamke kwenye hii dunia ni lipi kama sio kumsaidia mwanaume?
Mkuu embu tulia kidogo. Punguza hofu. Wanawake wasikusumbue akili.
namaogopa ?! Hiki ni kichekesho watu ninao advocate wahudumiwe, walindwe, watetewe, watunze ndio ati nawaogopa ?!Kwa nini unawaogopa wanawake? Naona kama unahofu.
Wewe kwaakili yako hiyo ninauhakika ukipewa uwanja sawa na Mwanamke yeyote kwa jambo lolote anaweza kukuzidi.
Unataja wanawake wa miaka ya zamani ambao wanaume wenye upeo mdogo kama wako mliwakandamiza kwa sababu ya kutokujiamini. Mnaogopa wanawake
Kwa nini unawaogopa wanawake? Hii inaashiria wamekuzidi uwezo
namaogopa ?! Hiki ni kichekesho watu ninao advocate wahudumiwe, walindwe, watetewe, watunze ndio ati nawaogopa ?!
kumsaidia mwanaume ni kumzalia watoto na kuwalea maana mwanaume hawezi kuzaa na kunyonyesha huo ndio msaada wake, yani kuendeleza uzao wa mwanaume sio msaada wa wewe ukilima matuta mawili na yeye akusaidie matuta mawili, au eti akusaidie kukulinda wewe wakati wa majanga dute wewe ndio umlinde.
Wanawatumia kama kinga ili waonewe huruma. Ila walipovamia Israel wafanya sherehe ila sasa mhh inasikitisha. Hii vita ni ya mindset zaidi
s
sasa huyo aliyeupata urais kwa bahati na wala sio kwa uwezo wake nae ni rais, kila kitu anapuyanga tu utamsikia "na hili mkalitizame"
Wanaume wanauliwa wengi tu ila nipropaganda za baadhi ya vyombo vya habari mfano Aljazeera kudai wanawake na watoto ndio wanaokufa zaidi.
Kitu kingine nilichogundua kwa wapelestina uhai kwao sio kitu yaani hauna thamani wanadanganywa kwamba ukifa unaenda peponi kula Bata bila kujua wengi wanaishia jehanamu
Zipo sehem za kupigania sema huyo myahidi anaona watu wote ni magaidi mpaka WANAWAKE na watoto
Mkuu unajua kuwa rais wako anaitwa Samia?
Spika wa bunge lako je unamjua?
Hatufanani nao ila ndio hivyo tena
Mashimo hayachagui mjini au uraiani,
Na vita kamwe Haina macho!!
Ulikua unaonekana smart kumbe ni kichaaTukiachana na hayo ya miungu.
Hivi wewe una mke na watoto unajua kabisa kesho au Wiki ijayo mji unaoishi patashambuliwa. Utaacha familia yako?