Kwa hili Arusha mnatuaibisha Watanzania

Nilisikia walitupa access ya kujibatiza wenyewe si ndio jana nikafanya jaribio [emoji23]

Uhakika mbadala maana chai imegoma leo [emoji1787][emoji1787]
Umetisha jirani yangu [emoji28]
 
Mabasi yapi unazungumzia? Buses, coaster or hiace?

Stand wenyewe wanawezana nazo.
Mabasi yote kwa ujumla wake.

Hatuzungumzii kuwezana nayo au kutokuwezana nayo. Waboreshe miundombinu iendane na hadhi ya jiji
 
Yale mavazi yenu na maviatu ni ujuaji usio na maana
 
Mkuu yani ukivuta bhangi iliyochanganywa na ugoro ni shida.

We umemwelewa mleta mada?.
 
Duuhh.......leo ndo nimeamini unaweza kusoma mada kwa utulivu mkubwa na usiielewe....
 
Inaonekana umeanza kutumia Jf leo
 
Arusha inaharibiwa kwa sababu za kisiasa, CCM na serikali yake wanashindwa kuiendeleza Arusha kwasababu wanajua hawapendwi hivyo ni kama wamepasusa, mfano stand ya mabasi ya mikoani, pesa zilishatolewa zamani lakini utekelezaji wa ujenzi wake ukawa unasuasua kwasababu Lema alikuwa mbunge, ni ujinga ujinga tu.
 
Arusha ni jiji lipo holela sana naweza ukawa ndani ya jiji ila kwenye kijiji, tatizo mji mpana ila haujapangwa vizuri.
mwingine anasema mpana mwingine mji mdogo hatuwaelewi which is which??
nyie ndio wale mnafikie kwa shemeji😎
 
Ulitaka mtu apeleke yutong simanjiro au kiteto
 
Tunasafiri na kufika. Hizo lomoni zako baki nazo. Ukitaka starehe nunua Chinyunyu yako dingila. Life la chugastan ni la wachugastan. Huwez ishi rudi kwenu.

Hiyo kiswaili unayojua kuiongea kwa ufasaha imeshakuingizia bei gani.

Una akili za kiwaki
 
Maisha ya watu wa mikoani magumu Sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…