Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Na huu umri wangu sijawahi kuona Mzalendo anayewatetea Mabeberu km Lissu
Mtu mzima bila aibu mishipa imemchomoka anawatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu!
Tuache unafiki na chuki za u vyama lisu ni mzalendo wa kweli wa Tanganyika tatizo amegusa maslahi ya wakubwa
 
Hivi hofu juu ya Lissu ni ipi mpaka mnahangaika naye kiasi hiki? Mnadhani mnamchafua kumbe ndio kwanza mnamjenga na kumtangaza zaidi

Jr[emoji769]

Hofu ya ccm ni dhidi ya Lissu ni ya haki. Wanaccm wanajua vyema wakati mgumu aliokutana nao JK uchaguzi wa 2010 dhidi ya Dr. Slaa. Wanaccm wote wanajua udhaifu alionao Magufuli kwenye kujenga hoja, na ubora na ushawishi alionao nao Lissu, wanajua fika ccm itaenda kupoteza mvuto bandia ilioujenga kwa kutumia vyombo vya dola, kunyima uhuru wa vyombo vya habari, kundi la watu wasiojulikana nk. Hivyo hawako tayari Lissu agombee maana wanajua watajikuta kwenye wakati mgumu mno wakati wa uchaguzi, na hasa baada ya uchaguzi.
 
Mkuu Nadhani Wewe unachukua mtazamo wa mtandaoni hasa jamii forum

Ila nenda mtaani utajua balaa la Ccm

Tuombe uhai October nitakukumbusha ushindi wa kimbunga wa Ccm
 

Hjashawishi umma ukuelewe kwa sababu hizi, bado lissu atabaki kua mwamba wa kutuvusha katika hali ngumu hii ya maisha
 
Wanzio Chadema wamepata ujumbe wasipoufanyia kazi October hawatapata mbunge hata mmoja

Hakuna uwezekano wa cdm kukosa wabunge chini ya 50 kwa njia ya kura. Hilo toa kabisa kwenye matamanio yako.
 
Kwa hali hii itakuwa makosa kumpitisha kugombea nafasi hiyo kwani ni rahisi kujengea hoja madhaifu yake uliyoyaainisha.
 
Na huu umri wangu sijawahi kuona Mzalendo anayewatetea Mabeberu km Lissu
Mtu mzima bila aibu mishipa imemchomoka anawatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu!
Ngoja niendelee na kazi nikikumbuka nitakujibu nani ni mzalendo kati ya lisu na Magufuli
Kwa bahati nzuri Magufuli ni Mzilankende mwenzangu hata kama sipendi siasa za hovyo napenda Magufuli aendelee
 
Tunataka aje hata mmoja ampe changamoto Magufuli asipate 100% Magufuli apate 98%
Liasu na wote ulowataja hawana sifa za kuwa maRais wa Tanzania labda wawe maRais wa Wasafi. Sioni sababu ya Chadema kuingia kwenye kintang'anyiro cha Urais maana hakina mtu mwenye sifa hata mmoja
 
Mkuu Nadhani Wewe unachukua mtazamo wa mtandaoni hasa jamii forum

Ila nenda mtaani utajua balaa la Ccm

Tuombe uhai October nitakukumbusha ushindi wa kimbunga wa Ccm

Mtaa upi ambao sisi hatufiki, au unadhani watu kunyamaza kwa kuhofia lile kundi lenu la watu wasiojulikana, basi ndio wanaikubali ccm?
 
Mkuu hakuna mwenye hofu mwenyekiti wa Ccm Rais Magufuli amefanya vyote maendeleo ya watu na vitu

October ni km kushuka mlima tu
Acheni hofu jengeni hoja za mliyoyafanya shaurini viongozi wenu msiegemee upande mmoja demokrasia safi ni maendeleo ya watu na vitu.
Tuache kugombana kwasababu ya vyama na watu tutangulize uzalendo wa taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…