Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
-
- #141
nyuma ya hao watumiaji wa jf kuna wabongo mil 30
nini kinakuuma sasa
Hatuwezi kuukumbuka hata iweje maana October tutakuwa ikulu tayar
Mbatia atampa chamgamoto huyo mgombea wa CCM. au naye hafai?Tunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli
Ila huyu lissu hata diwani hamtapata
CCM kama mnataka tuwaamini tena, mpeni Membe awamu hii. Huyu wa sasa amefanya matumizi mabaya sana ya pesa zetu walipa kodi, kitendo cha kujilipa bilioni 1.2 kila mwezi kwa matumizi binafsi tu, kwa kweli kimempunguzia sifa ya uadilifu.CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni Chadema tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani
Kazi kwenu Chadema muamue msimamishe lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Tuchukulie mfano ww ndiyo T.A lisu kwa lile shambulia la kupigwa risasi almost 30+ halafu ukatoka salamu, halafu serikali yako ikakataa kukupa matibabu mabeberu wakakutibu mpaka ukapona hapo Nani wamaana zaidi kwenye uhai wako?Na huu umri wangu sijawahi kuona Mzalendo anayewatetea Mabeberu km Lissu
Mtu mzima bila aibu mishipa imemchomoka anawatetea Mabeberu yatuibie raslimali zet!
hivi ni kwel jaman mtu ambaye hana impact angeweza shambuliwa namna ile pasipo serikali kuwajibika? mbaya zaid ni public figure lakin mpaka leo hii hakuna kinachoendelea! yule mtu kama akigombea madhara yake yatakuwa makubwa sana yaan huenda uyu jamaa ndio akawa kiongoz wa kwanza kukaa muda mfupi madarakan
Mbatia atampa chamgamoto huyo mgombea wa CCM. au naye hafai?
Huyu mbona ana pacemaker unajua life span ya watu wa hivi...Narudia lisu ni unfit so hawezi kuwa amiri jeshi mkuu
Tuchukulie mfano ww ndiyo T.A lisu kwa lile shambulia la kupigwa risasi almost 30+ halafu ukatoka salamu, halafu serikali yako ikakataa kukupa matibabu mabeberu wakakutibu mpaka ukapona hapo Nani wamaana zaidi kwenye uhai wako?
Beberu au nchi yako?
😂 😂 uoga ni kitu kibaya sanaMkuu mtaa wote upo na Magufuli vijana wanamuita Baba lao
Trust me upepo wa Rais Magufuli ni noma mtaani, Mzee anakubalika hakuna
Maadui wanakufanya uimarikekitakachomjengea mazingira magumu uyu bwana aliyepo madarakan ni kwamba ametengeneza maadui wengi sana kipindi hiki cha uongozi wake, yaan wahanga ni wengi kuliko vipindi vyote vya uongoz, watu wametekwa sana, watu wametumbuliwa sana hatimaye mustakhabali wa maisha yao kuharibiwa, mishahara kwa wafanya kazi haijapanda ndan ya miaka mitano, kufanya vitu nje ya katiba ya jamhur ya muungano mfano kununua midege ile wakati wananchi uku wanakufa njaa, watu wametolewa bunduki hadharan kama vile tupo sudan, yaan ki uhalisia uongozi wa uyu bhana ni mgum sana japo yapo mazuri pia aliyoyafanya
CCM kama mnataka tuwaamini tena, mpeni Membe awamu hii. Huyu wa sasa amefanya matumizi mabaya sana ya pesa zetu walipa kodi, kitendo cha kujilipa bilioni 1.2 kila mwezi kwa matumizi binafsi tu, kwa kweli kimempunguzia sifa ya uadilifu.
Wewe na nani mnaotaka?Tunataka Wapinzani wengi
Waoga ni hawa wanaosukumana mlangoni nani aende nje[emoji23] [emoji23] uoga ni kitu kibaya sana
Je aliyekifananisha chadema na korona mbona bado yupo kwenye wadhifa wake na sijaona andiko lako la kumuomba aondolewe kwenye nafasi yake. Na yule alifananisha wanafunzi wa vyuo vingine na ukilaza sijaona kuongea neno la kumshauri ili kubadilisha kauli ile. Wewe unamuogopa Lissu kubali ukatae sindano inauma hiyo mkuu subiri iingie itapoa tu
Baba wataifa sio Alfa na Omega babu , alikuwa na makosa yake kama binadamuKumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe