Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 252
- 301
SHIDA INAKUJA PALE WENZETU WANAMAPEPO, YANAYO WAENDESHA. Kwanin tuckae juu ya jiweWanaume mnawaogopa sana wanawake, sijui uanaume ndio unapotea kihivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHIDA INAKUJA PALE WENZETU WANAMAPEPO, YANAYO WAENDESHA. Kwanin tuckae juu ya jiweWanaume mnawaogopa sana wanawake, sijui uanaume ndio unapotea kihivyo.
Umeshaangalia movie ya Sisu?Hivi hii U
Hivi hii Hukumu ya kunyongwa iko mara 2?, kuna Kunyongwa hadi kufa na Kunyongwa pasipo kufa?
Mnazingua malalamiko yamekua mengi sana jamvini.SHIDA INAKUJA PALE WENZETU WANAMAPEPO, YANAYO WAENDESHA. Kwanin tuckae juu ya jiwe
Movie??Umeshaangalia movie ya Sisu?
Yule jamaa alinyongwa halafu hakufa🤣
Sema upepo umetugeukia wanaume, hatujui kweny kikao chao walipeana mbinu gan.. Ndo hapa wanaume tunawaza mbinu ya kuwatulza watawalike hawa viumbe keMnazingua malalamiko yamekua mengi sana jamvini.
Zamani wanawake ndio walikua na kamdomo, walilalamika mno kua wanateswa , wanapigwa nk siku hizi kibao kimegeuka.
YULE JAMAA ANAROHO ZAID YA PAKAUmeshaangalia movie ya Sisu?
Yule jamaa alinyongwa halafu hakufa
Watu wa kusema ukweli ni watatu tu yaani mtoto,mlevi na mtu aliyepaniki(hasira)1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05. Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09. Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumba ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Ukristo sio Dini ni sawa tu akibadiliNa mkristo mpumbavu ndie atabadili dini kisa mke au mume
ila ukristo ni niniUkristo sio Dini ni sawa tu akibadili
Kukaa kimya mpinzani wako asijue unawaza nini ndio mbinu bora.Sema upepo umetugeukia wanaume, hatujui kweny kikao chao walipeana mbinu gan.. Ndo hapa wanaume tunawaza mbinu ya kuwatulza watawalike hawa viumbe ke
Sahihi kabisaUkiona mambo ndivyo sivyo Bora kuachana kuliko kusubiri mgawane majengo ya serikali
1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05. Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09. Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumba ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Siyo kweli, inategemeana na aina au namna ya Mauaji yenyewe. Mauaji bila ya kukusudia unaweza ukahukumiwa kifungo cha miaka kadhaa tu kama vile miaka miwili, Saba, tano, n.k.Adhabu kwa kosa la kuua ni kunyongwa tu.
Haijalishi umebadirisha dini au umeoa msomi mwenye kiburi.
Kikubwa kuwa mwangalifu na matendo yako.
Mbona daWa ndogo tu!Mke akikunyima unyumba ongeza mke.
Hata mimi nashangaaMbona daWa ndogo tu!
Na ndo weng wakiumizwa hko hukimbilia mitandaon kulialia, cjui ndo inakua wameadhirika kisaikorojiaKukaa kimya mpinzani wako asijue unawaza nini ndio mbinu bora.
Hii mitandao imeibua masimp ndo tatizo, kazi kulialia tu mitandaoni.
Kutamani tu kubadiri dini kwa sababu yake mpaka kilipomtokea huyu jamaa inaonesha na wewe ni wale wale tuBinafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
NAUNGA MKONO HOJA...Ili kuepuka yote hayo na kubaki salama kuliko kuishi kama digidigi ni KUKATAA NDOA TU.