Kwa hukumu ya bwana Hamisi kunyongwa hadi kufa nimejifunza yafuatayo

Kwa hukumu ya bwana Hamisi kunyongwa hadi kufa nimejifunza yafuatayo

SHIDA INAKUJA PALE WENZETU WANAMAPEPO, YANAYO WAENDESHA. Kwanin tuckae juu ya jiwe
Mnazingua malalamiko yamekua mengi sana jamvini.
Zamani wanawake ndio walikua na kamdomo, walilalamika mno kua wanateswa , wanapigwa nk siku hizi kibao kimegeuka.
 
Mnazingua malalamiko yamekua mengi sana jamvini.
Zamani wanawake ndio walikua na kamdomo, walilalamika mno kua wanateswa , wanapigwa nk siku hizi kibao kimegeuka.
Sema upepo umetugeukia wanaume, hatujui kweny kikao chao walipeana mbinu gan.. Ndo hapa wanaume tunawaza mbinu ya kuwatulza watawalike hawa viumbe ke
 
Huu ni upuuzi yaani mtu umetafuta hela mpaka umejipata, unamiliki magari, nyumba, na biashara za kutosha.... Badala utulie ule hela zako unazuzuka na kumer mpaka zinakupeleka pabaya.
 
1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05. Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09. Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumba ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Watu wa kusema ukweli ni watatu tu yaani mtoto,mlevi na mtu aliyepaniki(hasira)
Najua Leo umesema ukweli kwa sababu una hasira
 
Sema upepo umetugeukia wanaume, hatujui kweny kikao chao walipeana mbinu gan.. Ndo hapa wanaume tunawaza mbinu ya kuwatulza watawalike hawa viumbe ke
Kukaa kimya mpinzani wako asijue unawaza nini ndio mbinu bora.

Hii mitandao imeibua masimp ndo tatizo, kazi kulialia tu mitandaoni.
 
1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05. Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09. Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumba ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Adhabu kwa kosa la kuua ni kunyongwa tu.
Haijalishi umebadirisha dini au umeoa msomi mwenye kiburi.
Kikubwa kuwa mwangalifu na matendo yako.
Siyo kweli, inategemeana na aina au namna ya Mauaji yenyewe. Mauaji bila ya kukusudia unaweza ukahukumiwa kifungo cha miaka kadhaa tu kama vile miaka miwili, Saba, tano, n.k.


Mauaji ya kukusudia Hukumu yake ndio kunyongwa hadi kufa.
 
Wazee wa Tafuta Hela😀😀😀
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Kutamani tu kubadiri dini kwa sababu yake mpaka kilipomtokea huyu jamaa inaonesha na wewe ni wale wale tu
 
Back
Top Bottom