Kwa Israel kukishikilia kituo cha mpaka cha Rafah ndio imekamilisha kampeni yake ya kutumia chakula kama silaha ya vita

Kwa Israel kukishikilia kituo cha mpaka cha Rafah ndio imekamilisha kampeni yake ya kutumia chakula kama silaha ya vita

Alfajiri ya kuamkia leo jeshi la Israel kwa kutumia vifaru na mashambulizi ya anga wamefanikiwa kufikia kituo cha mpaka wa Gaza na Misri na kukishikilia kituo hicho kutokea upande wa Gaza.

Mara baada ya kufanikiwa kukishika kituo hicho jeshi la Israel limezuia uingizwaji wa misaada ndani ya Gaza ikitoa visingizio kuwa ina taarifa ya kutumiwa kituo hicho kwa vitendo vya kigaidi.

Kwa sasa njia zote za ardhini za kuingia Gaza ambazo huwa zinatumiwa na mashirika ya misaada kuwafikishiwa wapalestina chakula na mahitaji mengine zitakuwa zinashikiliwa na jeshi hilo la Israel

Upande wa kaskazini ya Gaza eneo la Erez kwa muda mrefu limekuwa likishikiliwa na jeshi hilo ambapo kiasi kinachoruhusiwa ni kile cha kuwafanya wakazi wa eneo hilo wasife tu kwa njaa lakini wasishibe na kuishi kama binadamu wengine.

Umoja wa mataifa na mashirika mengi ya misaada yamekuwa yakiilalamikia Israel kuwa kiasi wanachoruhusu kuingia Gaza ni kama tone tu la mahitaji kwenye bahari.Hata hivyo lawama hizo hazijaifanya Israel kulegeza kamba
Mwanzoni zilikuwa zinashikiliwa na nani
 
Israil anaendeleza kichapo maalim
Sa yanini huwa anataka maongezi na Hamasi ya amani, kama anauwezo huo.

Us, Europe, Egypt, Jordan ,UAE, Baharain, Saud Arabia wote hao wamemshindwa Hamas.

Mtabaki mnaota kama Hamasi atashindwa na nguruwe na vibaraka wa US.
 
Umekuwa brainwashed vibaya sana
Kama vile wewe kuamini Yesu ni Mungu, na Israel kusema ni taifa lake.

Hivi aliye mpigilia Yesu pale msalabani ni nani vile, na alikuwa wapi Yesu time hizo vinguguti au.

Kwa hio Yesu kafia msalabani kabeba dhambi zenu sio, sa vipi atarudi tena kuna mtu aliye kufa duniani akarudi duniani tena 😄

Basi we pia kumbe utakufa pia, afu utafufuka tena hapa duniani, poleni sana vichaa.

Israel ndio bye bye hilo taifa lenu la kishogo lipo mbioni kukuta roho.
 
Wasijali wapalestina. Allah mwenyewe huruma muweza wa yote atawashushia chakula na maji na kuliteketeza na kuifuta taifa ovu la Israel kwenye ramani ya dunia.
Allah huyu huyu? Nikushauli kitu ndugu yangu nenda Rafah ukawasaidie ndugu zako katika Imani. Achana na Allah na mud. Hakuna cha bikira 72 peponi
 
Unaanzisha fujo na wababe wako ilhali haujui hata chakula utakipata wapi?Hamas ni wapumbavu sana.
 
Unaanzisha fujo na wababe wako ilhali haujui hata chakula utakipata wapi?Hamas ni wapumbavu sana.
Ukiona mtu kaamua kupambana namna hiyo ujue uonevu umekuwa mkubwa na hana njia nyengine .
Anaamua ajitetetee mengine anamuwachia Mungu ambaye ndiye mtoaji riziki na ushindi.
Kwa hali waliyonayo wapalestina ambao hata mazao yao na miti ya kibiashara inang'olewa kila siku na kufukuzwa mashambani mwao,huo mpango wa kujiwekea chakula ndio uanze kupigana haufanyi kazi kabisa na si mpango wa kiume.NI bora uamue kupigana na adui yako ukiwa na nia utakula anachokula yeye.
 
Back
Top Bottom