Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Lakini flyover na ndege unafaidi tu ewe toto la gaidi.

😂😂!

IMG_20210928_212038_069.jpg


BAK

Hiiiiii bagosha
 
ndege zimenunuliwa kwa kodi yangu, interchange (wewe unaziita flyover maana hata hujui flyover ni nini) zimejengwa kwa kodi yangu. Jiwe alikuwa anatekeleza ilani ya chama na alikuwa analipwa kwa kutekeleza ilani hiyo.
Kwani sasa hivi umeacha kulipa kodi?
 
Endeleeni kutafunana wenyewe kwa wenyewe sisi tunasogeza kuni na dizeli tu hadi mbaki majivu
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Yawezekana ulikuwa sahihi lakini ulipohusisha swala la uchaguzi umefuta kila kitu.
 
Hata waliosimamia uonevu,dhuluma,kubambikia kesi za uhujumu uchumi,kuteka na kupoteza watu,kubambikia kodi na maovu mengine nao hata wakiondolewa hayo madhambi yao tunayo mioyoni mwetu.
 
Mtahangaika sana nyinyi sukumagang.

Mwacheni raisi samia aongoze nchi,msimuingilie wala msimpangie.

Nyinyi ni kina nani wa kumchagulia marafiki na maadui?
Hivi Sukumagang ni nini? Mwanasiasa yeyote makini hawezi kucheza na kura zaidi ya 30% ya wapiga kura wake! Hii Sukumagang kama huijui vizuri kafanye homework yako vizuri. Tunahitaji heshima zaidi ya hivi vijembe vyenu vya kipuuzi
 
MAJIZI YA KISUKUMA YAMEZIDIWA KETE NA MAJIZI YA PWANI NA VISIWANI.

Sisi ngoja tuagize popcorns tuone mwisho wenu!
 
Hata waliosimamia uonevu,dhuluma,kubambikia kesi za uhujumu uchumi,kuteka na kupoteza watu,kubambikia kodi na maovu mengine nao hata wakiondolewa hayo madhambi yao tunayo mioyoni mwetu.
Vipi kuhusu fly over zao, unafaidi tu toto la gaidi
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Huu mkwala tu mkuu, wangapi washapita kwenye hizo nafasi na maisha yakaendelea!!! Tz ni ileile tu miaka nenda rudi
 
Kwa hiyo kwa akili yako umeona hao hawatakiwi kuguswa?

Kwani wengine hawawezi kufanya better than hao!

Yaani Mwendazake aliwaaminisha kuwa yy ni malaika au Mungumtu mpk hamtaki teuzi zake ziguswe.
Huyo nae mjinga flani nadhani niwa ukande uleeee. Waliamini watazikalia hizo nafasi mpaka wafie hapo
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Sukuma Gang kutwa mnamtukana Samia mitandaoni, halafu mnataka awaache, mnapigwa chini wote kwenye Syteam
 
Back
Top Bottom