eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hofu yangu ni moja tu; isije ikawa kuna vita ya kupromote Migebuka kutoka Kigoma kwa VP, na kuangamiza biashara ya sangara na sato kutoka Mwanza.
Na kama haya mambo yanafanyika kweli, basi Serikali inatakiwa kuchukua hatua mara moja kupambana na huo uhuni, badala ya kutoa tu angalizo.
Pengine tumerudia zama za wananchi wanalalamika na viongozi nao wanalalamika. Accident kila siku, panya road, haya na hilo la sangara, hakuna kauli yoyote ya maana.
Badala ya kusema tu tabia hii ikome kabisa. Kwa kauli ambayo wataiheshimu na kuitii. Ndiyo maana siku zote nitamkumbuka JPM.