Kwa kauli hii naanza kuogopa kula Sangara

Kwa kauli hii naanza kuogopa kula Sangara

Mimi nawaunga mkono mgome kula Sato na Sangara ili soko liyumbe bei zishuke sisi wapenda sato na sangara tufaidike kununuwa Kwa bei ya chini, maana hao Samaki bei imepanda sana.
Unajifikiria nafsi yako tu.
 
bongo tanzia, chambo ni kitu kinachu tumika kumvutia samaki aje mtegoni. sangara ni carnivor hula nyama tu, tena hupendelea live bait, yani chambo hai sio mzoga mara nyingi hula samaki wenzake hasa sato na fulu.

Sasa ukisema unatumia maji ya maiti kama chambo ni aibu😂😂😂😂 ni kuongea utumbo,labda useme wanatumia kwa mambo ya hayati lakin kwa chambo hapana.

nimesikia mwingine anasema hutia eti kuzuiya samaki asihalibike😂😂😂 utumbo, Wavuvi kwa ship za viwandani huendana barafu ziwani sangara baada ya kushikwa tu mara hiyo hiyo huwekwa kwenye barafu.

Ushauri
muoshe vizuri na mpike samaki aive vizur, maji baridi yana vijidudu wengi hatatishi.(enterobactceae)
 
Maji ya ziwa sio kama ya bahari. Ni rahisi kuchafuka.Kama hatua hazikuchuliwa kuzuia sumu kuingia humo basi ni janga kubwa.
Yaa kuna uwezekano huo kwamba hilo ziwa tayari liko heavily polluted.......ni muhimu hatua mathubuti zichukuliwe kulinda mazingira ya bonde la ziwa victoria kuepuka hizo environmental pollutants.
 
Kumbe wavuvi wa ziwa Victoria wanatumia maji ya maiti kutupatia kitoweo.Kama alivyotahadharisha makamu wa raisi dkt Mpango baada ya wagonjwa wa saratani kuongezeka huko Mwanza katika ziara yake hapo juzi...
Maji ya maiti au dawa zakuifadhia maiti? Hi Nchi wajinga wengi,hata Jana nimesikia chombo Cha habari kinatangaza heti maji ya maiti yatumika kuifadhia samaki
 
Acha upotoshaji wewe..waafrika kwa uchafu..yani nzi ndio awe tester ya ubora wa samaki.

#MaendeleoHayanaChama
Kijijini tulikua tunautambua uyoga wenye sumu na usio na sumu

Ule ambao hauna sumu,unaugundua kwa kuangalia matamvua kama yameliwa na wadudu
Na ule ambao hauna sumu unakuta yale matamvua hayajaguswa kabisa na wadudu
Nadhan hapo ameapply hiyo formula
 
Na wanatumia hayo maji pia hili samaki wasiharibike,hii ni kweli halina ubishi,,,wavuvi wenyewe wanasema,,

Na walaji wa kuku wa kisasa pia si salama.

Bora Dr alinikatazaga kula masamaki ya masafa/kwenye mafriji[emoji23]
Duuuh,kumbe wanafanya hivyo kweli kabisa....hatari sana hii

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Endeleeni kula samaki, hakuna utafiti wowote wa kitaalamu kuthibitisha hayo maji ya maiti hata kama kweli yanatumika kwamba yana uhusiano wowote na kupata magonjwa ya kansa, hii ni sawa na story ya kijiweni......matatizo ya saratani huko ni kutokana na mazingira ya migodi kuchafua vyanzo vya maji kwa kemikali, labda kwa kiasi fulani kemikali za viwandani na yale madawa ya kilimo yanayotumika karibu na vyanzo vya maji........mwisho wa siku hizi kemikali huishia ziwani. uchunguzi ufanyike kama kuna viashiria vya kuwepo kiwango kikubwa cha kemikali hatarishi kwenye maji ya ziwa na kwenye samaki wanaopatikana ziwani hasa ukilenga kujua kiwango cha heavy metals kama mercury, lead nk.​
Huo uchunguzi ufanywe na nani??subwataalam kutoka nje?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Naona kama wote wanasiasa na tusiokuwa wanasiasa tumeunga teller hakuna anayehoji kwamba maji ya kuoshea maiti yanasababishaje saratani?,wataalam mtuambie mtu akifa anazalisha sumu kiasi cha kusababisha ugonjwa?”

"Au wakati wakuosha maiti zipo dawa zinatumika?"


Though siungi mkono kutumika kuhifadhi kitoweo but inawezekanaje???
 
mkuu dona nilishaikimbia kitambo, nikila dona ujue unga nimeandaa mwenyewe. nimesafisha mahindi na nimepeleka kusaga mimi mwenyewe. Madhara ya dona la kununua hotelini nimeyashtukia kitambo sana
Ukiyapeleka mashine kusaga nako unaambiwa kuna chembe chembe za chuma zinaingia kwenye unga ambazo si salama.

Lakini pia hakikisha hayo mahindi umeyalima mwenyewe bila kuyapulizia madawa na ukatumia mbolea ya samadi pia ukayahifadhi mwenyewe.
 
bongo tanzia, chambo ni kitu kinachu tumika kumvutia samaki aje mtegoni. sangara ni carnivor hula nyama tu, tena hupendelea live bait, yani chambo hai sio mzoga mara nyingi hula samaki wenzake hasa sato na fulu. sasa ukisema unatumia maji ya maiti kama chambo ni aibu😂😂😂😂 ni kuongea utumbo,labda useme wanatumia kwa mambo ya hayati lakin kwa chambo hapana.
nimesikia mwingine anasema hutia eti kuzuiya samaki asihalibike😂😂😂 utumbo, Wavuvi kwa ship za viwandani huendana barafu ziwani sangara baada ya kushikwa tu mara hiyo hiyo huwekwa kwenye barafu.
ushauri.
muoshe vizuri na mpike samaki aive vizur, maji baridi yana vijidudu wengi hatatishi.(enterobactceae)
Kwamba hawa samaki wanavuliwa na ndoano Mbna cjakuelewaaa.... ??
 
Acha upotoshaji wewe..waafrika kwa uchafu..yani nzi ndio awe tester ya ubora wa samaki.

#MaendeleoHayanaChama
Huyu ana maana dawa zinazotumika kuonyeshea maiti zinazuia kbsa harufu na zinawafukuza inzi ndio maana ukitaka kula samaki hao anasema jaribu hivyo
Binafsi mimi na familia yangu hatutakula tena Sato au Sangara nitahamia Mtera
 
Back
Top Bottom