Kwa kauli hii ya IGP Wambura, Lissu na wengine nawashauri futa wazo la kurudi nchini

Unazingua mkuu... mbona kaongea tu kawaida hapo?
Na kuua viongozi wa upinzani mpaka rais aamue, polisi hawawezi kujiamulia jambo kubwa kama hilo bila go ahead ya Rais
Au unadhani Sirro ndio alijiamulia mwenyewe shambulio kubwa kama lile la Lissu!!?
 
Njia sahihi pekee ya kuwamaliza majambazi ni kutumia bunduki, bunduki ndio solution ya kuwaondoa wapumbavu kwenye Jamii.
Kwa andiko lako wewe ndiye mpumbavu nambari wani
 
Kwa andiko lako wewe ndiye mpumbavu nambari wani
Mtapora watu hadi lini yaani sisi tufanye Kazi nyie mchukue kilaini.Rwanda ni salama wametumia njia hii imeleta matokeo 💯 asilimia.
Kamata jambazi tesa ataje wenzake piga bullets,saka aliowataja tesa wataje mtandao wako piga bullets ndani ya miezi 3 Hakuna takataka inayoitwa jambazi au kibaka.Jambazi atakiwi kuwa jela ni matumizi mabaya Sana ya kodi zetu bali kwake ni kuzimu awaishwe.Mtu akiwa mpumbavu inatakiwa atenganishwe na Jamii haraka na sio kumfunga jela.
 
Kwanin yeye hataishi milele anavyowatishia wenzake watakufa
 
Jiwe nayeye alikua na misimamo kama yako uzuri mmoja kila nafsi itaonja mauti, huyu wa Rwanda nakuhakikishia hataishi milele, sisi wote ni wapitaji kwanin umtishie mwenzako maisha
 
niliandika kuna mijitu ya CCM humu ikaleta mzaha! una mmoja yuko nje alisema waafrika hawaaminiki, siwezi kurudi sasa hivi! Leo nimeongea naye akasema si nilikwambia kuwa huko bado kabisa as long as CCM iko madarakani! Kuna kijiutu humu kinaleta ujinga
 
Erythrocyte niliandika hapa.....Mmoja yuko scandinavia akasema huko siji maana waafrika hawaaminiki
 
Nini kibaya alichokisema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…