Kwa kauli hii ya Rais Samia, mjadala wa Bandari umefungwa RASMI

Kwa kauli hii ya Rais Samia, mjadala wa Bandari umefungwa RASMI

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wajumbe,

Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.

Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.

Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.
 
Sikilizeni maoni ya Wananchi na msiyapuuze., nilisikia pale zamani Mwalim akisema hivyo., sas sijuwi alikuwa anaambiwa nani., maana nahisi aliyekuwa anaambiwa ni kiziwi asiye na uwezo wa kusikia.
 
Wajumbe,

Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji...
Alishafunga mjadala huu zamani ...

Basi tu.. kelele zinapigwa ili kumkomesha tu..

DP W washamwaga mabilioni ya pesa.
The action is IRREVERSIBLE..

Jiandae kwa maumivu.
 
Kauli ya kijinga kama hiyo toka kwa mjinga haiwezi kufunga mjadala.

Samia amewekeza akili yake kwenye uwekezaji pekee, lakini asijue hata kama huo uwekezaji una tija kwa taifa au hapana.

Yeye anachojua ni kukimbizana kuwekezwa tu, ili tuwe wa kwanza!.
 
Back
Top Bottom