25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Wakati wa utawala jpm alikuwa bado ananyonyaNani kakudanganya JPM aliwashindwa mbona walitoroka nchi na mikutano yote kupigwa ban au ulikuwa nje ya nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa utawala jpm alikuwa bado ananyonyaNani kakudanganya JPM aliwashindwa mbona walitoroka nchi na mikutano yote kupigwa ban au ulikuwa nje ya nchi?
Hauwezi kufungwa kizembe hivyo, POLISI nao sio wajinga kihivyo,akifanya hivyo ndio anajimaliza kabisaWajumbe,
Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.
Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.
Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.
Kwa hiyo maana ya mada yako hii hapa ni kutoa ufafanuzi wa alichosema Samia.Wajumbe,
Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.
Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.
Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.
hivi hawa wanaonunua mifugo mingi na kuichinja kwa lengo sikukuu ya kuchinja ya dini fulani sio dp world kweli? Hii mifugo mingi inayochinjwa sio kafara la kutupumbaza watanzania na mikataba tata ya kuwekeza kwenye mali zetu kweli? Watanzania gani hao wenye uwezo wa kununua mifugo mingi kwa pamoja na kuichina kwa ajili ya sadaka ya ibada ya dini tu isiyo na maana? Unaweza kukuta ni dp world ndio wamemwaga hela hawa matajiri wa mafutaVipi na hao DP WORLD, hawajamwaga kweli mzigo kwa baadhi ya Watanzania?
Maana kwa maelezo ya mkongwe Pascal Mayalla, hao Waarabu ndiyo wabobevu katika hicho kitengo cha kumwaga hela, kutoa zawadi na bahshishi mbalimbali, nk.
Na hii ilikua tuhuma kubwa sana kwao kwenye Ile isue ya Djibouti. Tukaisome vuzuri ndio mana Jeshi liliwawahi chaapVipi na hao DP WORLD, hawajamwaga kweli mzigo kwa baadhi ya Watanzania?
Maana kwa maelezo ya mkongwe Pascal Mayalla, hao Waarabu ndiyo wabobevu katika hicho kitengo cha kumwaga hela, kutoa zawadi na bahshishi mbalimbali, nk.
Aliwashindwa!? Unaota wewe watu walipoteana wakapumua alipofarikiUnafikiri hao akina Mbowe wanaogopa
Kama jpm aliwashindwa unadhani huyu mama ana ubavu!!
Yuko wapiJpm aliwaweza wakina mbowe mpaka wenzie wanakimbilia uhamishoni wamerudi kwa huruma ya samia mbowe na wenzie hawawezi shindana na serikali
Kichwani mwako mwako kumejaa kinyesihivi hawa wanaonunua mifugo mingi na kuichinja kwa lengo sikukuu ya kuchinja ya dini fulani sio dp world kweli? Hii mifugo mingi inayochinjwa sio kafara la kutupumbaza watanzania na mikataba tata ya kuwekeza kwenye mali zetu kweli? Watanzania gani hao wenye uwezo wa kununua mifugo mingi kwa pamoja na kuichina kwa ajili ya sadaka ya ibada ya dini tu isiyo na maana? Unaweza kukuta ni dp world ndio wamemwaga hela hawa matajiri wa mafuta
mfia dini kama kawaida huachi kutokwa povuKichwani mwako mwako kumejaa kinyesi
Wajumbe,
Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.
Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.
Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.
Mimi na wewe nani kaandika hovyo. "Muanfiko" ndio nini.Unaandika kwa kutumia miguu
Mbona muanfiko wa ovyo!!
Ila hii nchi watu mna vichwa vigumuKwako wewe mkataba na dp world hauna mapungufu yoyote?
Wajumbe,
Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.
Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.
Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.
Bora ufungwe uwekezeji usonge mbele na akina Tibaijuka wadhibitiwa na tics yao.Wajumbe,
Kama unajua au unaweza kusoma body language ya mtu na hasa katika eyes contact utakubaliana na mimi kuwa mjadala wa Bandari umefungwa na kinachofuata ni utekelezaji.
Samia kusema wakosoaji waje wafanyiwe vetting ili wafanye kazi pamoja na "sisi' maana yake ni kwamba hakuna kurudi nyuma. Samia kusema kwamba tunavuta miguu na fursa adhimu tutakimbiwa ni thibitisho kuwa hakuna kurudi nyuma.
Na mwisho kusema kwamba "sijui watafanya nini...."ilhali akijua ni mkutano mkubwa wa tarehe 22 na mikutano 70 ya Mbowe, maana yake ni salamu kwa Polisi kuandaa virungu na maji ya pilipili ya kutosha. Mtapigwa mpaka mtachakaa.