Tatizo ni haraka za kutoa hoja mkuu.Wewe ndiye umeandika ujinga,hujui kama jukumu la usalama wa mechi ni la jeshi la polisi na miongoni mwa maofisa wa mechi yupo Afisa Usalama wa mechi (S.O) ambaye ni Afisa wa Polisi ASP Hashim Abdallah ambaye ripoti yake ya kiusalama ndiyo imezingatiwa na bodi katika kufikia uamuzi wa kuahirisha mechi?
Unadhani wana akili basi? Wamekalia ubishi tu.Wewe ndiye umeandika ujinga,hujui kama jukumu la usalama wa mechi ni la jeshi la polisi na miongoni mwa maofisa wa mechi yupo Afisa Usalama wa mechi (S.O) ambaye ni Afisa wa Polisi ASP Hashim Abdallah ambaye ripoti yake ya kiusalama ndiyo imezingatiwa na bodi katika kufikia uamuzi wa kuahirisha mechi?
Wewe umeiona ripoti yote ya Afisa Usalama wa mechi?Hao mabaunsa wa Yanga walifuata nini uwanjani?Vipi kama Ubaya Ubwela nao wangeleta mabaunsa wao nini kingetokea?Bado hapo haiwezi kuipa uhalali bodi ya ligi kuhairisha mechi
1) swala la usalama limetokana na nini?
Wao wenyewe bodi ya ligi wamekiri juu kuwa Simba hawakufanya mawasiliano yeyote na maofisa wa mechi, mamlaka ya uwanja na timu mwenyeji ili waweze kuwafanyia maandalizi ya kikanuni. Hapa ni wao wenyewe Simba wamehatarisha usalama wao.
2) Kuna matukio linalopaswa kuhairisha mchezo endapo kuna kiongozi au mchezaji katika tukio hilo kajeruhiwa au kafariki lakini kuishia kusema kwamba mechi inahairishwa kwasababu tu ya uchunguzi ni kushindwa kufuata vigezo vya uhairishaji wa mechi iliyopo katika kanuni.
Huu usenge sijui nani kauanzisha. Kila kibuyu wa Simba anaruka nao.Mechi ijayo ... Mgeni Rasmi ni Mama Samia Suluhu
Mgome Kuleta Timu Tuone!
Makosa ya kiusalama yametokana na Simba wenyewe kishindwa kufanya mawasiliano na maofisa wa mechi, mamlaka ya uwanja na timu wenyeji kwaajili ya kuandaliwa mazingira rafiki kwaajili ya wao kutekeleza haki yao kikanuni. Hata hivyo kama ingekuwa kuna aliyejeruhiwa na aliyekufa lazima wangesema katika taarifa ya bodi ya ligi ili tuone hizo sababu za msingi na za dharura ni zipi.Wewe umeiona ripoti yote ya Afisa Usalama wa mechi?Hao mabaunsa wa Yanga walifuata nini uwanjani?Vipi kama Ubaya Ubwela nao wangeleta mabaunsa wao nini kingetokea?
Wewe umeiona taarifa yote ya Afisa Usalama wa mechi? mabaunsa wa Yanga walienda uwanjani kuanzisha vurugu kwa kanuni ipi? iweke hapa wote tuisome sio unaongea kwa hisia tu,Yanga Wamezoea kuvunja kanuni makusudi wakijua adhabu ni ndogo ya faini wanalipa,sasa wamekutana na wanaojua Sheria na kanuni zaidi yao.Mechi ikipangwa tarehe mpya watacheza hata kama hawapendi.Makosa ya kiusalama yametokana na Simba wenyewe kishindwa kufanya mawasiliano na maofisa wa mechi, mamlaka ya uwanja na timu wenyeji kwaajili ya kuandaliwa mazingira rafiki kwaajili ya wao kutekeleza haki yao kikanuni. Hata hivyo kama ingekuwa kuna aliyejeruhiwa na aliyekufa lazima wangesema katika taarifa ya bodi ya ligi ili tuone hizo sababu za msingi na za dharura ni zipi.
Kunakuwa na ofisa usalama wa mchezo ambaye taarifa yake ndiyo "official", na sio hao PoliCCm wako.Umeandika ujinga, Ishu ya Usalama wanaotoa Ripoti ni Jeshi la Polisi na wenye mamlaka za Usalama. BODI YA LIGI wanajuaje masuala ya USALAMA bila taarifa ya Jeshi la Polisi na hao ndio wenye dhamana ya Usalama? Pia unajuaje usalama wakati mechi ni Jioni na Jeshi la Polisi wamepeleka ulinzi pale?
Umeandika Upumbavu.
Kaka hapa ujue umekuja darasani,na nitakuelimisha kwa kanuni unazotaka na utaelewa tu.Wametumia kifungu 34 (1) 1.3 kinachosema, Sababu ya dharura au/na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.
1. Bodi ya ligi ndo TFF?
2. Sababu ya msingi ni ipi?
3. Sababu ya dharula ni ipi?
Wewe hujui kanuni unarukaruka tuu.Fanyeni usajili wa maana la si hivyo Bodi ya ligi na Simba mta dhalilika kwa muda mrefu sana
Imeandikwa sababu yenye msingi itakayokubaliwa na TFF na wala hawajasema itakayokubaliwa na vilabu au wadauWametumia kifungu 34 (1) 1.3 kinachosema, Sababu ya dharura au/na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.
1. Bodi ya ligi ndo TFF?
2. Sababu ya msingi ni ipi?
3. Sababu ya dharula ni ipi?
Wametumia kifungu 34 (1) 1.3 kinachosema, Sababu ya dharura au/na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.
1. Bodi ya ligi ndo TFF?
2. Sababu ya msingi ni ipi?
3. Sababu ya dharula ni ipi?
Ukiwa na timu mbovu na kupenda ku bebwa utavunja kanuni kila siku.Wewe hujui kanuni unarukaruka tuu.
Sawa usilete Team sasa kama wewe huelewi kanuni.Ukiwa na timu mbovu na kupenda ku bebwa utavunja kanuni kila siku.
Ukweli nikua Simba ni mbovu na wamekimbia kipigo, Kutegemea wazee wafupi bila kuwa na Timu ni upuuzi.
1) je mabaunsa wa Yanga wanatambulika kisheria kama nani? Ni kitambulisho kipi kinachowaonesha kuwa ni mabaunsa wa Yanga na sio walinzi wa uwanja? Wana mamlaka gani kisheria na kikanuni kiasi kwamba wawe na uwezo na nguvu wa kusitisha jambo la kisheria?Wewe umeiona taarifa yote ya Afisa Usalama wa mechi? mabaunsa wa Yanga walienda uwanjani kuanzisha vurugu kwa kanuni ipi? iweke hapa wote tuisome sio unaongea kwa hisia tu,Yanga Wamezoea kuvunja kanuni makusudi wakijua adhabu ni ndogo ya faini wanalipa,sasa wamekutana na wanaojua Sheria na kanuni zaidi yao.Mechi ikipangwa tarehe mpya watacheza hata kama hawapendi.
Sababu za Usalama1) je mabaunsa wa Yanga wanatambulika kisheria kama nani? Ni kitambulisho kipi kinachowaonesha kuwa ni mabaunsa wa Yanga na sio walinzi wa uwanja? Wana mamlaka gani kisheria na kikanuni kiasi kwamba wawe na uwezo na nguvu wa kusitisha jambo la kisheria?
2) Sheria inasema kama kuna sababu ya msingi au dharura je kwanini bodi imeshindwa kuziweka sababu hizo za msingi ama dharura ni zipi hizo?
Dodoma jiji walipata ajali ya bus na kupelekea baadhi ya wachezaji na viongozi kupata majeraha na kupelekwa hospitali hivyo ikasababisha mechi kuhairishwa.
Dodoma jiji walikidhi taratibu za kanuni za kuhairisha mechi sababu
- sababu ya msingi ni majeraha yaliyotokana na ajali
- dharura ilikuwa ni ile ajali.
Sasa twende kwa upande wa Simba je kipi kulikuwa ni sababu ya msingi au dharura ya kuifanya ile mechi ihairishwe?
Mkuu hakuna cha sababu za kiusalama wala nini hii mechi ilishapangwa kutochezwa na kwa bahati mbaya bodi ya ligi imekuja na sababu za kitoto za kuhairisha mechi. Hao hao ndio waliosema kuwa Simba walikosea kwa kutokuwasiliana na maofisa wa mechi, mamlaka ya uwanja na timu mwenyeji kama ataenda kuutumia uwanja ili waweze kuwaandalia mazingira rafiki. Sasa hapo hauoni kama hao hao Simba ndiyo walijihatarishia usalama wao?Sababu za Usalama
Yanga itapeleka timu na Simba itafungwa, ni swala la muda tu.Sawa usilete Team sasa kama wewe huelewi kanuni.
Kama umenifunga Mara 5 mfululu unaogopa Nini mimi kufanya mazoezi?