GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yamekuwa haya tena mzee. Tunaanza kuongelea mambo ya muda?
Kitu ambacho hujui mkuu timu yako haiwezi kuchukua alama 12 kwa singida na Azam, Af kwa hizo mechi zote Dar Es Salaam Young Africans anachukua alama 3 bila ya papatu papatu uwanjani.Tarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Thubutu na endelea tu Kuota sawa?Kitu ambacho hujui mkuu, hizo mechi zote Dar Es Salaam Young Africans anachukua alama 3 bila ya papatu papatu uwanjani.
dua la kukuTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Mi sijawahi kutoa boko, subiri uone mwenyewe..Thubutu na endelea tu Kuota sawa?
acha kapigwe tu hakuna namnaTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Huko vizuri kwenye kufuatilia ratiba za Wanayanga kuliko hata Wanayanga wenyewe,aahaaaaaTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Comment bora sana hii komenti ya kufungia mwaka kumbe ilikua ndio lengo lao kiko wapiYule mwargentina anaijua kazi yake bwana, huwezi ukamfananisha na mbrazili wenu, utaona kitakachowakuta hao ndugu zako utakuja kusimulia, huyo mbrazili wenu soon wanamtimua, just wait