Kwa kipigo cha juzi na kwa hii ratiba ya mechi zao tano zijazo kuna mtu anaweza kurejea kwao Maradona Country kwa kufukuzwa

Kwa kipigo cha juzi na kwa hii ratiba ya mechi zao tano zijazo kuna mtu anaweza kurejea kwao Maradona Country kwa kufukuzwa

Tarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.

Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.

Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.

Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.

Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.

Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?

Kudadadeki....!!
Clean 15 points.
 
Tarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.

Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.

Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.

Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.

Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.

Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?

Kudadadeki....!!
tumeshinda zote
 
Back
Top Bottom