Kwa kipigo cha juzi na kwa hii ratiba ya mechi zao tano zijazo kuna mtu anaweza kurejea kwao Maradona Country kwa kufukuzwa

πŸ”ŠπŸ”ŠπŸ”ŠWe Selemani we sele sele🎡🎢🎢🎢🎢
We selemani we sele sele🎡🎢🎢🎢🎢🎡🎡🎢🎢

We.selemani we sele sele🎡🎢🎢🎢🎢🎢🎡🎡🎡🎡🎡

Selemani we🎡🎡🎡🎡🎡🎢🎢🎢🎢🎢



 
Andika mkeka mwingine maana huu tayari umepigwa na mhindi
 
Popoma, unasubiriwa huku kuja kutoa mrejesho!
 
Mbona wameshinda zoote kulikoni
 

Badala ya kurejea kwao MARADONA country kwa kufukuzwa amerejea kwao ZICO country kwa kutimuliwa kama paka mwizi.
 
Dua la kuku alimpati mwewe, mlipenda yanga ipoteze lakini kwa bahati yenu mbaya wenzenu walisajili wachezaji nyie mkasajili majina ya wachezaji matokeo yake mafuriko ya jangwani yamemsomba mpaka Mzee wa objectiiiveee na bado yanaendelea kusomba Kila kitu pale mto msimbazi mkija kushtuka mtakuwa mmebaki na majengo tu!!!
 
Jamaa nasikia wanagomea bahasha,juzi kule mbeya jamaa wakachukua bahasha na bado wakakandwa..zile janja janja zishashtukiwa..
Okay sawa sawa Tukiwaambia YANGA NI JESH LA MUNGU NDIO HUWA TUNAMAANISHA VIPIGO KAMA HIVYO, vinasambaratisha timu, haya rudin mropoke tena…
 
Wote mmepigwa mbele na nyuma, walete wengine.
 
Super popoma hebu useme mana bado hujasemaa
 
Nilishasema tangu siku za nyuma kuwa wewe sio analyst bali mzee wa hisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…