Board member
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 107
- 248
Yametimia mkuu!!Yule mwargentina anaijua kazi yake bwana, huwezi ukamfananisha na mbrazili wenu, utaona kitakachowakuta hao ndugu zako utakuja kusimulia, huyo mbrazili wenu soon wanamtimua, just wait
DahTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Wabongo si watu wazuriBaada ya kufukua makaburi ya Muhasibu, sasa mmehamia kwa genta 😂😂😂😂😂
Katika wote hao mkia ndio kala kipigo cha aibuTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Genty vpTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Katika wote hao mkia ndio kala kipigo cha aibu
Na sasa wanamjua MKANDAJI halisi siyo yule mvuta bange.Vipi una cha kusema baada ya kukandwa 5G?
Hakika kila mtu ashinde mechi zakeTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!
Mo amepokea bahasha kubwaaa akaamrisha vijana wachoke Hadi TangaJamaa nasikia wanagomea bahasha,juzi kule mbeya jamaa wakachukua bahasha na bado wakakandwa..zile janja janja zishashtukiwa..
Amesema tayari ama bado
Mlichukukua bahasha ya sh ngapi kwenye zile bao tano [emoji2936][emoji2772]Jamaa nasikia wanagomea bahasha,juzi kule mbeya jamaa wakachukua bahasha na bado wakakandwa..zile janja janja zishashtukiwa..
Rudi useme tena na bado 5 zileTarehe 7 Oktoba anacheza na Geita Mwanza.
Tarehe 25 Oktoba anacheza na Azam Dar es Salaam.
Tarehe 28 Oktoba anacheza na Singida Fountain Gate FC Dar es Salaam.
Tarehe 5 Novemba anacheza na GENTAMYCINE SC ( Simba SC ) Dar es Salaam.
Tarehe 11 Novemba anacheza na Coastal Union FC Tanga.
Kila Mtu ashinde tu Mechi zake sawa?
Kudadadeki....!!