Kwa kweli Bongo bado sana

Kwa kweli Bongo bado sana

Upanga nyumba zimezidi kuwa chafu sana
Huu utoko sijui ni (Grime-build up of dirt), labda sababu ya vumbi za barabarani

Aisee, mkuu, sasa hivi kama unaendesha gari bongo ,utashangaa ya hawa bodaboda wa pikipiki, yaani unaendesha njia nzima unawakwepa wao, ni majanga sio kidogo, nitaweka clip uone mwenyewe, hawa ni kama wameruhusiwa kutofuta sheria za barabara, yaani wanapita kwenye red traffic lights, mbele ya traffic amesimama tu, na sio mmoja ni kama nzige, yaani wamevuruga barabara zote, ni makelele yao yao ya honi, halafu wamefunga honi za mabasi, ni fujo tupu barabarani.
Sio ile Dar unayoijua kama hujafika huku miaka 10 iliyopita, kwa kweli haikuvutii kabisa kusema imeendelea ni majanga tupu, hakuna ustaarabu kwenye kila kitu.
Kwa sasa nikirudi Bongo nitataka kutembea mikoani zaidi.
 
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikakati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!


Rudi huko kwenu, mkataa kwao mtumwa fala wewe.
 
Hahaha wazungu choka mbaya.

Mkuu hao wamejaa kigamboni huku sijui hata wanatoka nchi gani.
Wengine wamepanga kabisa mtaani huku asubuhi tunakutana nao kwenye mihogo.
Soma uzi wa cute wife kuhusu hao wazungu wa kigambon,yy alikutana na mmoja huyo kisa chake utacheka mpaka bas
 
Mkuu, me nakushauri ukisepa bongo usirudi tena hadi wabongo wapate akili waendeleze bongo yao ndo urudi kula matunda ya nchi kama ambavyo umeenda mbele baada ya wao kuendeleza kwao.
 
Sijawah fika developed country yoyote duniani. Lakini nashindwa kuelewa Kwanini Watz wanaishi maishi ya kis*nge namna hii, hovyo hovyo tu inanikera mno mno.

In FACT mazingira ya Tz yananiharibu sana AKILI nimeliona hili

Nikienda sitarudi huku.

Kwa hapa Tz sehem nimeona ina afadhali ni Tanga Mjini iko vizuri Sana hata hali ya hewa ni Safi very fresh, Mara nyingi huku dsm I use face mask japo mijitu huwa inanishangaa shangaa
Mkuu.

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Binafsi najuta sana kazaliwa Tanzania.

Nipo Bongo bahati mbaya.

Nipo kwenye process ya kukimbia hii nchi yenye Laana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
[emoji23]
Kwa kweli sidanganyi kwa hili
Kwangu imekuwa culture shock!
Sababu baada ya muda mrefu na sehemu niliyotoka sijaona watu wamechonga mabenchi yao ya kukaa pembezoni mwa barabara siku nzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bongo, dar es salaam
 
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!
Nilikuwa naitamani bongo sio mchezo, nikiangalia you tube, mitandaoni tz nzuri sana hila kwa ground ni case tofauti sana.
 
Nimeshindwa kuongeza siku kutokana na kushindwa kuvumiliia hizi purukushani za Dar
Mkae Salama.
 
Tatizo lako una fananisha bongo na Huko uliko toka.

Fananisha Tanzania ya miaka kumi ilio pita na hii ya Leo. Hapa ndo ulete maoni yako
We unazani maendeleo ni hayo majengo marefu jiji letu tumefeli sana swala la mipango miji mitaa mingi dar gari la majitaka haliingii wajawazito sijui wakipata uchungu huwa inakuwaje hiyo mitaa ya manzese
 
Sehemu yoyote where there's no anymore peace of mind Unabidi kuondoka hiyo Sehemu .

Honestly nchi yetu watu wamezubaa Sana they all talking about peoples
Gossiping
Blaming
Ego and a lot of shit*.
 
Sehemu yoyote where there's no anymore peace of mind Unabidi kuondoka hiyo Sehemu .

Honestly nchi yetu watu wamezubaa Sana they all talking about peoples
Gossiping
Blaming
Ego and a lot of shit*.
Hama wewe basi
 
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!
Uvccm.watakuja kutukana na kusema wewe umetumwana mabeberu
 
Back
Top Bottom