Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kuna taratibu gani za kiserikali za kufuata au nauziwa kihuni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiingie upande mbaya wa sharia na hicho kitu.
Uhakiki wake unaanzia Kata, Wilaya (kamati za Ulinzi na Usalama), Mkoa hadi Polisi kwenyewe.
Kama una nia na unasafiri sana, hasa safari za mbali na usiku, hizo ni moja ya sababu ya kuombea silaha.

Siyo mchezo ukisafiri usiku, ingalau una ka ulinzi ka kukupa moyo na ujasiri.
Mimi nina visa vingi tu ila majini sijawahi, narudia sijawahi kuyaona!!
 
Dar pale muheza kuna kuti lipo juu kwenye nyaya ya umeme,kuna siku nilipita saa sita usiku naendesha gari nilihisi kama mtu ana bembea ,ni ujasiri tu sikutetereka.
Hahahhaha naweza kuimagine woga ulokua nao
 
Pale kuna twiga sana na speed ni 50kph,twiga huwa na akili nyingi anaweza piga breki ya ghafla na kugeuka akiona hatari.
Waliofika mapema waliona twiga pembeni wawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma coment kuanzia 1 mpka 22 hii,wewe ndo umeongea uhalisia na nilichokuwa nawaza.bt wote wamekaza uchawi uchawi/mauza uza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu Sub Machine Gun (SMG) ni silaha ya kivita, kumiliki kwa matumizi ya kawaida sio rahisi.
 
Chai chai chai... Kikombe sh ngapi? Acheni fix madogo...
Hii haina part two yake?
naona unawapa Dozi nene
 
Hapa kwedikwazu nakuelewa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 90 mwanzoni, baba alikuwa anatoka Mwanza kwenda Nairobi, ile ndo ameanza kuiacha tu Mabatini, kufika daraja la Mwananchi hakuona daraja, akaona ziwa limetanda kote, utingo wake akamwambia wewe lenga tu tunapopitaga siku zote. Hammad, kulivuka lile eneo wakashuka wakaangalia walichokiona kabla, hakukuwa na ziwa wala tairi za scania kulowana.


Miaka ya 2000 mwanzoni walikuwa wakisomba mafuta kutoka Kisumu wanaleta either Nyamongo au Buhemba, siku hiyo kaja hom anatusimulia alichokiona milima ya Roketo, kama unaenda Tarime kutokea Musoma. Akatuambia, wakati wanapita usiku waliona ng'ombe mkubwa ajabu akikatisha barabara kuelekea upande wa pili, hakuna aliyethubutu kumgonga wa kusimama, wenzie waliokuwa wanakuja nyuma wakakutana na mwingine tena eneo lile lile.
 
dah jaman hizi story nyengine Nina was was Nazo maana mnanieka kwenye dilema, cjui niamini au laaa
 
Mimi ilikuwa ni mwaka juzi nikitoka dsm kuelekea Dom nipo njiani naTezza naitafuta Dom hapo mida ya saa sita usiku nimewasha full ndipo kwa mbele yangu mita kama 70 nitaona kundi la watu kama saba hivi wamesimama pembeni ya balabala wote wana mavazi meupe niliogopa nikaongeza speed ilewkuwapita tu nikahisi gari kama imeongezeka uzito hivi kama kuna mzigo nimepandisha ghafra nilishangaa nikajaribu kuangalia kwa nyuma asalale wale watu wako nyuma ya gari ile butwaa nilopigwa nikayumbisha gari nikakontro na mabreki gari lilivyosimama sikuona mtu, kuanzia hapo akili haikukaa sawa nikawa naitafuta Dom nipate kwawkulala tu hata kulala sikulala usiombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifanya kitu gani kama dereva wa usiku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelezea vizuri sana mkuu hizo ndo taratibu za kufuata mpaka unamiliki silaha na sio kila mtu ata afuate taratibu zote akaruhusiwa kununua/kumiliki silaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipende kuendesha usiku,nitafute mimi twende wote niwe nakupigisha story
iyo safari ya usiku niitolee wapi? labda huku Oman usiku Ndo mda wa kutoka na sijawah kuskia mauzauza, ila kwa afrika cjawahi kua na safari ya usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…