Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Hahaa mwana we ni kauzu zaidi ya dagaa!! Safi sana ulivyomnyoosha alitaka akumalizie pesa ya mshahara wakati ndio kwanza tarehe 5
 
Yani sitaki kuongeza neno ila kwa buku mbili hii niliotaka nihonge bora niende kwa pusha wangu kwanza nika meditate
 
Na bdo unapambana nae?du..
 
Hizo pesa za kucheza mnazitoaga wapi wakuu ...! Pole Sana kwa kutana na mwanamke mzuri lakini kichwani ni box
Nimewaza kama wewe. Hiyo laki 3 ni robo ya ada ya wanangu halafu nikaichezee kijinga tu kwa ajili ya UTI ya mbwiga mmoja alieshindikana na midume 3.
 
Siyo ajabu wazazi wapo hai huko kijijini na hujawahi hata kuwapa zawadi nzuri. Unaendekeza umaarufu kwa malaya tu
Achana nao kazi kujisifu tu humu kwa maana ukiwa serious nao haya tuoane wapi wanaanza kutafuta sababu huna tabia nzuri, oh sina muda wakuendekeza wanawake na huku yupo bize analea watoto wanaume wengine tokea february mpaka april .
 
Ila ningekuwa mimi binafsi kwa hiyo bill ningecheka mno ka chizi huku nasepa zangu. Utani na pesa sitaki kabisa
 
Walichoshindwa wenzio ndio hiko,
Pole na hongera kwa kuteseka na ujinga wa huyo manzi
 
Achana nao kazi kujisifu tu humu kwa maana ukiwa serious nao haya tuoane wapi wanaanza kutafuta sababu huna tabia nzuri, oh sina muda wakuendekeza wanawake na huku yupo bize analea watoto wanaume wengine tokea february mpaka april .
Kimeumana
 
Achana nao kazi kujisifu tu humu kwa maana ukiwa serious nao haya tuoane wapi wanaanza kutafuta sababu huna tabia nzuri, oh sina muda wakuendekeza wanawake na huku yupo bize analea watoto wanaume wengine tokea february mpaka april .
Sijakuelewa mkuu
 
Daah, siku ya kwanza kazingua kesho yake unamtoa tena na kesho kutwa yake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]looh
Hii nchi inavijana wa hovyo sana..[emoji23]
 
Dawa za hela Yote hiyo si bora ungemnunulia Sanda tu maana alifanya kukukomoa


Hiyo hela ni mtaji wa Pharmacy ya Kijijini
 


Nmekupenda bure, hata me huwa spend mtu anayebakisha chakula. N her useme kipunguzwe lakn s kukishka shka na kukiacha, huo n ulimbuken na utovu wa nidhamu.
 


Pongez kwako bwana j, ww n mfano wa kuigwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…