Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Watanzania wapumbavu wanaongozwa na wapumbavu, mwingine huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliirudisha hiyo pesa, asamehewe.Tibaijuka gani? Huyu aliyesema billio ni pesa ya mboga? O.K
Kama mama kasema hivyo Kijitonyama Kwaya lazima watie timu 😀😀
Dr Naniliu PhD na kaka mavita 😂🔥
Unataka Mama wa watu atupiwe majini?Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma...
Ampe Mbowe vipesa kidogo, aikodi ChademaKutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma...
Tanzanians need total changes in clothing, thinking capability, emotional attention, gender orientation, and realistic deeds.Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma...
ya uongozi. Tusogeze Hadi 2035 . Kila la her
Too low.Umri wa kustaafu umefika.
Wagombea Urais 2025, umri usizidi 55 yrs,
Zaidi ya hapo wakalee wajukuu!!
Huyu mama kifupi mimi sioni kama ni kiongozi yaani .Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma...
Mengi uliyoyaandika ni upupu, umeshau walivyokuwa wanatorosha pesa kwa magunia kutoka Mkombozi bank? Umesahau alivyoita Bilioni 10 hela ya mboga? We lini utashika ht 100M? Kaazime akili km za kwako hazikutoshi.Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma...