Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Shangaa sasa akili ya wana ccm🤣Umeambiwa upige kura.Wewe unaanza kampeni mbele ya kituturi?CCM mpoje ninyi lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa sasa akili ya wana ccm🤣Umeambiwa upige kura.Wewe unaanza kampeni mbele ya kituturi?CCM mpoje ninyi lakini?
Jeshi walikuwa na nguvu ya kupindua kipindi kile mwendazake kafariki, lakini kwa sasa hakuna wa kujaribu hiloKwa sasa sijali nani atachukua madaraka,ingawa ningependelea mapinduzi ya kijeshi.
Kwa kura gani au kwa wizi wa kura?Rais ni Samia
Sidhani.Changamoto ni kwamba,waliotaka kufanya vile ni wazee.Mapinduzi hayafanywi na vikongwe.Rejea mapinduko yote ya awali ni kuanzia privates hadi makepteni.Kwa wastani.Na,walitaka kuyafanyia sebuleni huku wanakunywa kahawa.Hopelesses kwelikweli wale.Jeshi walikuwa na nguvu ya kupindua kipindi kile mwendazake kafariki, lakini kwa sasa hakuna wa kujaribu hilo
Kwa hiyo wanaopiga ni akina roboti Eunice wa Nape?Hapa naona upigaji kura kwa ushabiki wa mitandaoni lakini kwenye uhalisia Samia atapata 92?%
Haiko sawa kivipi? Namna mpiga mwingi anavyodhalilishwa?naona hii haiko sawa
Kumbuka tunaobweka hatupigi kura
nakupataTunataka tuone maonî ya wanaJF wengi watakuwa upande upi
mbona hujapiga kuraTunataka tuone maonî ya wanaJF wengi watakuwa upande upi
mbona hujapiga kura
okNshapiga.
Hapo mnara unasoma
Lisu 4
Samia 1
Kwa wale ambao hawajapiga Kura hawawezi ona matokeo