Pre GE2025 Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Ambaruty atatufaa sana kwa vile hatujawahi kuwa serious na kitu chochote
 
Mapendekezo yangu, hawahapa nawaona kuwa wanafaa:
1. Kassim Majaliwa
2. Simbachawene
3. Gwajima
4. Dr Ali Hassan Mwinyi
Hawa wamekuja kichwani haraka haraka ingawa ishu ya mkristo sijazingatia. Nitarudi baadae kuongeza list au kuiedit hi
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
As long as is an Agency from our special field there 🙏.
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Kwa CCM, Rais ni SAMIA SULUHU HASSAN. Labda kwa vyama vingine mnaweza kupendekeza.
 
As long as is an Agency from our special field there 🙏.
Mheshimiwa shikamoo nyingi kwako.. kwanini umepotea sana humu ndani. Au majukumu yamekukaba sana katika kulitumikia Taifa. Uwe unakuja mara moja moja hata kusalimia tu humu jukwaani.
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Kaeni kwa kutulia mpaka 2030 ndiyo Rais Samia atamaliza muda wake. Samia ni chaguo la Mungu baada ya kumuondoa yule Dikteta DHALIMU wa Chato.

Majaliwa atabakia mbunge wa Ruangwa tu 2025-30. Kwa taarifa yako hakuna Waziri Mkuu ambaye amewahi kuwa Rais wa Tanzania zaidi ya Nyerere
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Freeman Mbowe
 
Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Albert msando
 
H.E. Ambassador Joseph Edward Sokoine.

Huyu anafaa kupeleka nchi mahali Fulani.

2025 tunaondoka naye uchaguzi mkuu nafasi ya kwanza.
 

Attachments

  • Joseph_Edward_Sokoine_2023.jpg
    Joseph_Edward_Sokoine_2023.jpg
    48.1 KB · Views: 8
Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemokrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM achukue tu fomu wakutane White House, Dodoma.

"Unajua wengi hawamfahamu vizuri mama (Samia) ni mkomavu mno kidemojrasia ndani na nje ya chama. Katika moja ya vikao vya ndani amesema anayetaka kugombea aje tukutane Dodoma", kinasema chanzo katika korido za Lumumba.

Kwa kauli hii, na kwa kuridhika na uongozi wa mwanamke, nimeangalia sana mwanamke mwingine ndani CCM mwenye uwezo wa kiuongozi nimemuona Prof Anna Tibaijuka tu.

Kote alikifanya kazi ndani na nje ya nchi kuanzia na UN Habitat, Uwaziri wa Adhi na Mipango Miji, Ubunge jimboni na "kiburi" cha kumkatalia Kikwete kujiuzulu akimwambia sijiuzulu ila wewe nifukuze uwaziri mwenyewe, ni sifa za kiongozi anayejiamini.

Prof. Anna Tibaijuka kama fedha za kununua fomu tutakuchangia tulioona karama hii ya uongozi. Tusogeze Hadi 2035.

Kila lakheri!
 
Back
Top Bottom