Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Leo hii mmeamua kuwasifia madada zetu, basi mi nasemaje wasukuma na wanyakyusa wana mashepu nawaelewa sana kuliko hawa dada zangu wakichagga....
 
Ukanda huo Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Singida wana rangi inayowatia kiwewe wanaume wengi washamba washamba, sura nzuri zipo ila miguu na kalio hawashtui kiiivyo,, labda mang'ati niliona ndo wana miguu ya bia ambao ni wachache sana
Sio Kweli

Urefu, miguu, sura na umbo watu wa Arusha wapo vizuri...wamang'ati wana ngozi nzuri ya kuteleza kama wamasai na urefu tu
 
Sio Kweli

Urefu, miguu, sura na umbo watu wa Arusha wapo vizuri...wamang'ati wana ngozi nzuri ya kuteleza kama wamasai na urefu tu

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Kwa miguu hamuwapati mang'ati wana miguu iliyojaa tofauti kabisa na makabila mengine yote ukanda huo
 
Siyo kanda ya kaskazini, nchi nzima.

Arusha is the epitomy of beauty.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…