Sasa mbona hawaji kwenu?Kukaa mikutanoni na kushangiliwa sio kigezo cha ushindi.
Wengine wezi wa simu, wengine wafuata mkumbo, wengine wanashangaa tu.
Wapiga kura katika wingi ule wa watu wanaokwenda mikutanoni ni wachache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona hawaji kwenu?Kukaa mikutanoni na kushangiliwa sio kigezo cha ushindi.
Wengine wezi wa simu, wengine wafuata mkumbo, wengine wanashangaa tu.
Wapiga kura katika wingi ule wa watu wanaokwenda mikutanoni ni wachache.
Mapokezi hayakulindwa na polisi lakini hapakutokea Fujo yoyote,Basi naomba uelezee mapokezi ya Tl right now yanahusiana veep na uchaguzi wa serikali za mitaa. Labda ndo nitakuelewa mkuuu.
Note: sifungamani na chama chochote mkuu.
Nani asiye mjanja Sasa? Au wewe unaona kuwa mjingamjinga Ndo nzuri? Na Kama Ni ruzuku tutajie asieipenda!! You have to get rid of primitive judgement and don't be biased.Mbowe ni mjanja anajua kutengeneza mazingira yenye fursa za baadae.
Anajua kuwa Lissu ni maarufu na anaweza kusaidia ongezeko la idadi ya wabunge hivyo ruzuku kuongezeka wakati wa miaka mitano ijayo.
Wanakuja na kupiga kura na kurudi majumbani.Sasa mbona hawaji kwenu?
Hujamuelewa Magufuli na hujaelewa kwanini maneno yale kayasema pale ikungi.
Mbona Mikutano ya Spunda au Cheif Lutayosa Yemba ilikuwa na watu wachache na matokeo yalikuwa hvyo hivyo machache? Idadi ya watu/shazi ina reflect wapiga kura acheni uzwazwa maana nyie manasema wanaojazana kwenye mikutano ya chadema hawana kadi mara hawapigi kura yaani ni propaganda za kipuuzi na hapo hapo mnasema wapiga kura wameongezeka ,sasa tuwaelewe vp? Kama mtu ametembea kwa miguu kutoka airport hadi uwanjani zaidi ya 1hr ndio ashindwe kwenda kupiga kura?Kukaa mikutanoni na kushangiliwa sio kigezo cha ushindi.
Wengine wezi wa simu, wengine wafuata mkumbo, wengine wanashangaa tu.
Wapiga kura katika wingi ule wa watu wanaokwenda mikutanoni ni wachache.
Nani asiye mjanja Sasa? Au wewe unaona kuwa mjingamjinga Ndo nzuri? Na Kama Ni ruzuku tutajie asieipenda!! You have to get rid of primitive judgement and don't be biased.
Kayasema pale ili: 1. apate kura za wale wananchi wa Ikungi, 2. kuwaadaa kuwa watakuwa na mtu wao serikalini.
All in all, hiyo ni rushwa.
Huo sio ujanja bali ni hesabu za kawaida tu ni nani amlete mtu ambaye hauziki na atie hasara chama?Mbowe ni mjanja anajua kutengeneza mazingira yenye fursa za baadae.
Anajua kuwa Lissu ni maarufu na anaweza kusaidia ongezeko la idadi ya wabunge hivyo ruzuku kuongezeka wakati wa miaka mitano ijayo.
😁😁 point yako still hamna connection ya mapokezi ya Tl na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaaMapokezi hayakulindwa na polisi lakini hapakutokea Fujo yoyote,
AMANI IKITAWALA.
Mku usifananishe Mrema na Lisu hawa ni watu wawili tofauti na katika zama tofauti kisiasa na kimaishaKuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.
Ndio ujanja wenyewe wa Mbowe.Huo sio ujanja bali ni hesabu za kawaida tu ni nani amlete mtu ambaye hauziki na atie hasara chama?
Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Hao wapiga kura wakoje na washangiliaji wakoje ndugu? tunaomba utupe hiyo tofauti.Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
kumbuka kikadi cha mpiga kura ndicho kilikuwa kinasajili sim card hivyo watu wengi wanavyo walipogundua hivyo ndio wakabadilisha wakaleta nida ili vijana tupuuze kadi ya mpiga kura lakini tulikuwa tumeishavipataKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Nilikuwepo Tanzania, hasa dsm. Uchaguzi ulifanyika vizuri, kura zikahesabiwa. Ilipofika saa 6 usiku wakati matokeo yanaanza kutolewa vituoni, tukaambiwa uchaguzi kwa dsm yote umefutwa!Kuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.