Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25 Mbowe asherekea Xmas Dar badala ya K'njaro, kweli Lissu sio mtu wa mchezo mchezo

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
 
Anaona aibu!! Anajuta kutousikiliza ushauri wa Familia akasikiliza ushauri wa Ntobi na Wenje
 
MTu noma sana lissu
 
Magufuli na uwamba wake alitepeta kwa Lissu mwaka 2020 mpaka akaamua liwalo na liwe, akapora uchaguzi mzima kwa hasira. Sasa imefika zamu ya Kaguta, sijui na yeye ataweka mpira kwapani au itakuwaje
 
Hoja dhaifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…