Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25 Mbowe asherekea Xmas Dar badala ya K'njaro, kweli Lissu sio mtu wa mchezo mchezo

Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25 Mbowe asherekea Xmas Dar badala ya K'njaro, kweli Lissu sio mtu wa mchezo mchezo

Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Lissu aslisababisha Magufuli apige magoti kuomba kura. Jambo lilionekana ni la ajabu sana
 
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Lisu yupo moyoni mwa wajumbe ingawa machoni wapo na mbowe wakimhadaa wapate pesa anazogawa kusaka ushawishi
 
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Mi Naona ni siasa tu za Mtandao
 
Hii kazi ya kufuatilia maisha ya mtu, hakika mnaiweza wachache. Yaani mtu unakaa kabisa kuchungulia fulani anasafiri kwenda mahali fulani, kila mwaka!
Mbona wewe unafuatilia michepuko ? hata kuja humu ni kufuatilia mijadala kufuatilia ni kufuatilia tu kumbuka hiki ni kipindi cha kampeni na chawa wa mbowe akina boniface mdee wanamfuatilia Lisu saa 24 kila siku hivyo boss wako Mbowe na yeye lazima wamfuatilie
 
Kilichopo mbele ni uchakachuaji mkubwa wizi wa kura chawa wa mbowe wanajifua kufanya kila njia Mbowe awe mshindi na kuwa mwenyekiti haramu apate kulinda madudu yake ukiwemo ufisadi pesa za chama
 
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Mbowe ni sophomore wa Siasa za Chadema wakati Lissu ni freshman!!
 
Safari hii Mangi Mbowe wa Hai sijui kama hata anapata usingizi 😁

Mchakamchaka wa Lissu sio wa mchezo.
Sisi CCM hatuwezi kumuqcha mbowe tuna mbinu 4000 tutazitumiq japo kutoroka na masanduku polisi tuingilie halafu tutamjazia mwamba ushindi hatukubali mtu aliejenga chama jasho na damu aje muuza bar wa singida achukue kiti
 
Sisi CCM hatuwezi kumuqcha mbowe tuna mbinu 4000 tutazitumiq japo kutoroka na masanduku polisi tuingilie halafu tutamjazia mwamba ushindi hatukubali mtu aliejenga chama jasho na damu aje muuza bar wa singida achukue kiti
Hapo hapo unaweza kukuta hata hilo Bando umenunuliwa na shemeji acha kushobokea umasikini.
 
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Hamna paka wala panya wa kumpokonya Mbowe UWENYEKITI wa CDM.

Niko pale Sinza Mori, niite mbwa kama Lissu atashinda
 
Huku Mbowe akiona uenyekiti ukipita katikati ya vidole vyake na kumpokonya.
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 25, ( kutoka kwa watu wa karibu wa Mbowe), mheshimiwa anasherekea sikukuu za mwisho wa mwaka ndani ya Dar es Salaam badala ya Kilimanjaro.
Mbowe na timu yake wameamua kutumia muda huu kujaribu kuwashawishi wajumbe waliopo mjini.
Huyu Lissu anaonekana sio mgombea wa kawaida kabusa.
Mbowe huu moto anapelekewa sio wa dunia hii na anatakiwa jitafakari ,watz sio wajinga
 
Back
Top Bottom