Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Endelea nao wote kwa siri,mbona hayo ni kawaida na kila demu anafanya
 
🤦🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️
 

Huyo wa pili inaonekanwa anamzibua kisawasawa mara nyingi ndivo inavyokua
 
Siyo fair kabisa! Wengine hatuna hata huyo mmoja yeye wawili kweli why?, nasema hivi aachie mmoja , wanaume wenyewe mlivo wachache hivo😀😀

Penye fungu ndipo penye nyoongeza. Hata wewe ukishaanza kupata mmoja na wengine watakuja tu
 
Mkiwa mnadinyana vaa barakoa
 
naomba na mimi niwe wa 3 hapo,ukipoteza hao 2 ntabaki mimi naowajua wawil
 
MaIays
 
Umeishafuzu mafunzo ya wizi na ujasusi. Kama umeweza wapanga watu wawili na hawajashtuka
 
wansemaga wanaume tuko wachache duniani alafu bado umechukua wanaume wawili

kesi ya uhujumu uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…