Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili


Waache wote
 
Endelea kuwapanga tu hadi siku wakufanyie mtungo ndiyo utatia akili kichwani.
 
Angalia mahitaji yako kama umewagawanya kwenye majumu tofauti angalia hitaji kubwa ni lipi na yupi ana mudu jukumu lake vizuri
 
Yaan we una wawili na uwaza na tulio na6[emoji849] na hawajuwani kbsaa

[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji126]
 
Nahisi kuna watu humu walikuwa wana mpango wa kununua pete za 1M+ nahisi umewarudisha nyuma!
Ila hii dunia utopolo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…