Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Nimejitahidi mno kumiliki mwanaume zaidi ya mmoja ila nimeshindwa.hivi ni chuo gani wanatoa hii course aise

Nilikuwa nasemaga siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja pia. Lakin sasa hivi nko nao mpk mwenyewe najishangaa 🤦
 
wawili tu huulizi wenzio ligi inakuwaje?
 
Nilikuwa nasemaga siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja pia. Lakin sasa hivi nko nao mpk mwenyewe najishangaa 🤦
Umefanyaje fanyaje mpka umeweza?
Niwe mkweli tu nilishashindwaga kabisa.labda itokee bila kujitambua nijikute kwenye hayo mahusiano mawili.lakini eti nipange sasa nakuwa na mwanaume zaidi ya mmoja,hapana aiseh
 
Chagua anayekupelekea moto au anayekupa hela
ni wewe tu maamuzi yako.
 
Duh wewe utafanya tuendelee kuwekewa gunia zaidi ya 2 za mkaa. Kwanini usichague the most lovely one? Inamaana unawapenda sawa sawa? Acha ubinafsi bana achia mmoja wengine tumpate huko mtaani😉

Nawapenda wote ila nampenda sana wa pili lakin i feel sorry kwa wa kwanza. Naanza vp kuachana nae ni mtu mzuri pia amenitambulisha kwa wazazi wake na mimi nimemtambulisha kwa mdogo wangu na rafiki zangu. Na wazazi wake wananipenda sana lakini mapenzi kwake yamepungua sijui kwann
 
Ushasema huwezi kuwaacha sasa sisi tutakushauri nini uelewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…