Kwa mara ya kwanza nimempata mwanamke asiyeomba pesa

Kwa mara ya kwanza nimempata mwanamke asiyeomba pesa

Habari!
Nimempata binti kwakweli haombi Hela na ukimpa pesa anauliza ya nini.
Nilichojifinza ni kwamba hawa wadada wanaoomba pesa hovyo ni hali ngumu tu ya maisha ndio inawafanya wakose ustaarabu.
Wadada mkizaliwa katika familia za kimaskini tafadhali msitumie miili yenu kama chambo ya kutatulia shida zenu. Pambaneni kama sisi wanaume.
Ndugu yanguuuuu! Temea mate chini.
Hivi ninavyoongea nimenuniwa Leo siku ya 5. Nilimpata Demu akawa na maelezo yeye ni tofauti na waawake wengine wanaoombaomba hela, yeye haombi Mwanaume akitaka amhudumie mwenyewe siyo kumsumbua na mizinga kila mara, kwanza yeye ni mjasiriamali anauza nguo za kike za kukopesha, yaani yalimtoka nikajua nimepata. Nimekaa naye mwezi mzima nanunua vitu vidogo vidogo maana formula yangu ni NOT MORE THAN 10. Siku moja ghafla anakuja na huzuni, Dear mzigo wangu umekwama Dar mwenye duka ananidai 540,000/- naomba unipush! Na kweli nimempush!
 
Mnaosema demu sijui ana sponsor mwingine or ana mtu mwingine anampa pesa jueni sio kila mwanamke ni malaya au toxic , still wapo innocent women out there sema ni wachache mno,, kwa sababu mnapata wanawake waliogubuhu shida au wapuuzi,, basi msihitimishe kuwa wanawake wote ni kama pathetic poor souls
 
Habari!
Nimempata binti kwakweli haombi Hela na ukimpa pesa anauliza ya nini.
Nilichojifinza ni kwamba hawa wadada wanaoomba pesa hovyo ni hali ngumu tu ya maisha ndio inawafanya wakose ustaarabu.
Wadada mkizaliwa katika familia za kimaskini tafadhali msitumie miili yenu kama chambo ya kutatulia shida zenu. Pambaneni kama sisi wanaume.
Kuna wakina dada wanachakalika mkuu, wanapiga kazi kama hawana akili nzuri. Nimeshuhudia wawili. Mmoja kwenye mgahawa, mwingine anaka shop kake tu ka uongo na ukweli. Nimefuatilia mahali wanapoishi, nimegundua ni wa kawaida sana kimaisha!

Huyu wa hotel nimejaribu kumtupia nyavu, kakubali, nikampatia elfu tano ya vocha akaikataa!

Kuna baadhi ya wanawake kama hawa wanatakiwa kusainiwa rasmi kwenye kundi la watu, tuwatoe kwenye kundi la vitafunwa!
 
Mimi Kuna mwanamke miaka miwili hakuwahi kuniomba Hela hata mia mbovu
Tena ni kada ya ualimu Wala sio tajiri kivile, ukimpa Hela anakataaa. Hapokei Pesa labda umnunulie kitu umpe

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yanguuuuu! Temea mate chini.
Hivi ninavyoongea nimenuniwa Leo siku ya 5. Nilimpata Demu akawa na maelezo yeye ni tofauti na waawake wengine wanaoombaomba hela, yeye haombi Mwanaume akitaka amhudumie mwenyewe siyo kumsumbua na mizinga kila mara, kwanza yeye ni mjasiriamali anauza nguo za kike za kukopesha, yaani yalimtoka nikajua nimepata. Nimekaa naye mwezi mzima nanunua vitu vidogo vidogo maana formula yangu ni NOT MORE THAN 10. Siku moja ghafla anakuja na huzuni, Dear mzigo wangu umekwama Dar mwenye duka ananidai 540,000/- naomba unipush! Na kweli nimempush!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eehe za kichwaaa...
 
Kuna wakina dada wanachakalika mkuu, wanapiga kazi kama hawana akili nzuri. Nimeshuhudia wawili. Mmoja kwenye mgahawa, mwingine anaka shop kake tu ka uongo na ukweli. Nimefuatilia mahali wanapoishi, nimegundua ni wa kawaida sana kimaisha!

Huyu wa hotel nimejaribu kumtupia nyavu, kakubali, nikampatia elfu tano ya vocha akaikataa!

Kuna baadhi ya wanawake kama hawa wanatakiwa kusainiwa rasmi kwenye kundi la watu, tuwatoe kwenye kundi la vitafunwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Suala la mudaa tuu
 
Ni suala la muda tu mkuu.. nimewahi kuwa nae wa hivyo alivyo change gia angani sikuamin macho yangu.
 
Hongera mkuu...

Ila akikupiga bonge la mzinga uje utupe mrejesho.

Huwezi kula kitu cha mwanamke bure! Huamini eeh! Kamuulize Adamu wa kwenye biblia.
 
Anakusubiri uingie kumi na nane, utatamaji uishi na mdada wa uswazi ya Mbeya.
insults kwa wadada wa mbeya na humu nahisi hawapo sijaweza kumu imagine mdada wa mbeya uswaz atumie JF
 
Back
Top Bottom