Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Nimehuzunika..
Sijui ni kwasababu na mimi nina yangu yanayonisibu au??.
Ila mwambie mshkaji wao aondoke hapo home. Sema sasa kama ana shida ya pombe hapo ndio hatar inapokuja atakufa huko mtaani.
Kwel mshua wake hayuko fair ila pia asilaumiwe, huwa inauma kama.mzaz unapojitahid kutimiza majukumu yako kimalezi na mahitaji kwa watoto halaf wanakuja kuzingua, kama mzaZ pia anajeruhiwa sana maana tukubali tukatae, wazaz pia huwa na expectations kwa watoto wao, unapiga hesab ulivyomhangaikia il badae ajimudu ila matokeo yake anakua tegemezi inauma kiukwel.
Ila mshauri jamaa ajaribu kujiongeza, asiogope maisha, akafanye hata vibarua vya kupata hela ya daftar. Mtu mzima kununuliwa mpaka daftar za mtoto pia haiko sawa sana..akapige hata vijikaz vidogo vidogo angalau wazaz nao wafurah.
Hakuna furaha anayopata mzaz kama anapoona mwanae anapambana na maisha yale kivyake.
Polen sana.
NB
Kulia muhimu, kunaondoa uchungu na kikuepusha na sonona
Sijui ni kwasababu na mimi nina yangu yanayonisibu au??.
Ila mwambie mshkaji wao aondoke hapo home. Sema sasa kama ana shida ya pombe hapo ndio hatar inapokuja atakufa huko mtaani.
Kwel mshua wake hayuko fair ila pia asilaumiwe, huwa inauma kama.mzaz unapojitahid kutimiza majukumu yako kimalezi na mahitaji kwa watoto halaf wanakuja kuzingua, kama mzaZ pia anajeruhiwa sana maana tukubali tukatae, wazaz pia huwa na expectations kwa watoto wao, unapiga hesab ulivyomhangaikia il badae ajimudu ila matokeo yake anakua tegemezi inauma kiukwel.
Ila mshauri jamaa ajaribu kujiongeza, asiogope maisha, akafanye hata vibarua vya kupata hela ya daftar. Mtu mzima kununuliwa mpaka daftar za mtoto pia haiko sawa sana..akapige hata vijikaz vidogo vidogo angalau wazaz nao wafurah.
Hakuna furaha anayopata mzaz kama anapoona mwanae anapambana na maisha yale kivyake.
Polen sana.
NB
Kulia muhimu, kunaondoa uchungu na kikuepusha na sonona