Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Sasa kumbe namba uligawa mwenyewe,,


Hapo vijana hawana shida,shida unayo wewe.
 
Mfumo wetu wa maisha sera zetu mbovu zinatufanya tuwe hvyo umaskini ukosefu wa kazi
 
Siku akili zikikomaa wataacha tu, ni ajabu zaidi kukuta jitu zima kabisa above 30 kutafuta hizo connection.

Kwanza hazina maajabu, itakua sio ajahu kwa vinaja wanaobalehe kuzitafuta hizo connecyion lakin kwa mtu mzima ni huzuni saaana.
 
Kwema Wakuu!

Simu yangu leo ilikuwa bize ungedhani ni Customer Care wa Voda, nimeiona, kihere here kimeniisha, hapa nimeblock all unknown Call ili simu yangu ipumzike Kwanza. Unaweza ona Masikhara lakini ndio ukweli wenyewe.

Kutokana na kile kilichotokea na kudaiwa kuwa video ya Msanii Oprah kuvuja, nikasema Acha nione nini kitatokea endapo nitaandika hivi; Anayehitaji connection ya Oprah anicheki Kwa namba 06********** nitamtumia tugawane dhambi"
Yaani nimemaliza tuu kupost haijaisha dakika moja simu na SMS zikaanza kuingia mfululizo, Kwa kweli nimestaajabu Sana.

Vijana wa kitanzania Nani aliyewaloga?
Connection ya uchi itakusaidia nini kwenye maisha yako?
Ukimuona Fulani akiwa uchi nini unapata au upuuzi tuu!

Ukiandika vya maana Mtandaoni Vijana hawana time navyo, andika upuuzi uone utavyoungwa Mkono, ninaushahidi Kwa Jambo hili Mimi binafsi.
Maandiko yenye kujenga hayapendelewi na vijana wa kitanzania, Ila andika matusi, chuki, kejeli au Stori za Mapenzi uone!

Nilikuwa napitia Ukurasa wa Kigogo2014 wa Facebook wiki hii niliona akipost angalau vitu vya maana vya kujenga jamii, kupost biashara za watu, akapost masuala ya umuhimu wa Biashara ya Fedha ya kidigitali, post zake zote zenye tija hakupata like hata Mia moja, lakini akipost matusi Kwa Viongozi au Jambo lolote negative Watanzania utaona like na comments za kutosha.

Hivi ni Nani aliwaloga Watanzania?
Ndio maana Dr. William wa Marekani anatumia mbinu ya Kutukana na kutoa maneno makali ili kupata uungwaji Mkono. Ajabu Sana hii!

Vijana wa kitanzania Nani amewaloga?

Connection sio zakuzifurahia Sana, ipo siku hapa itatokea aibu kubwa katika taifa letu Kama tabia hii haitakomeshwa, unachekelea kuona uchi wa wanawake wengine, siku ukimuona Mama yako, au Mkeo au binti yako ndio akili itawajilia.
Kuna mambo sio yakuyachekea hata kidogo.

Oooh! Aliyemuambia ajirekodi Uchi wake Nani, kwani alirekodi kwenye siku yako, wewe uliyepost uchi usiowako ndio unapaswa uchukuliwe hatua Kali za kinidhamu.

Sijui nini kinasababisha watu Kupenda wengine wakidhalilika na kuumia. Ni roho mbaya na chuki zisizo na maana.
Vijana wenye tabia hizi muache Kwa kweli. Jaribuni kujiweka katika nafasi za wahanga. Chukulia kuwa he huyo ingekuwa Mama yako ungefurahi, au angekuwa binti yako ungechekelea na kuomba Connection ya kuuona Uchi wa Mama yako au Binti Yako. Kama mmeshindwa kuwa na UTU basi kuweni hata Waungwana.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nyuchi zinatupunguzia stress tunaishi vizuri sana kama wa kwako upo karbu tuma DM

Au hata kama ulijirekodi na shemeji we tuma tu me napenda
 
Kwema Wakuu!

Simu yangu leo ilikuwa bize ungedhani ni Customer Care wa Voda, nimeiona, kihere here kimeniisha, hapa nimeblock all unknown Call ili simu yangu ipumzike Kwanza. Unaweza ona Masikhara lakini ndio ukweli wenyewe.

Kutokana na kile kilichotokea na kudaiwa kuwa video ya Msanii Oprah kuvuja, nikasema Acha nione nini kitatokea endapo nitaandika hivi; Anayehitaji connection ya Oprah anicheki Kwa namba 06********** nitamtumia tugawane dhambi"
Yaani nimemaliza tuu kupost haijaisha dakika moja simu na SMS zikaanza kuingia mfululizo, Kwa kweli nimestaajabu Sana.

Vijana wa kitanzania Nani aliyewaloga?
Connection ya uchi itakusaidia nini kwenye maisha yako?
Ukimuona Fulani akiwa uchi nini unapata au upuuzi tuu!

Ukiandika vya maana Mtandaoni Vijana hawana time navyo, andika upuuzi uone utavyoungwa Mkono, ninaushahidi Kwa Jambo hili Mimi binafsi.
Maandiko yenye kujenga hayapendelewi na vijana wa kitanzania, Ila andika matusi, chuki, kejeli au Stori za Mapenzi uone!

Nilikuwa napitia Ukurasa wa Kigogo2014 wa Facebook wiki hii niliona akipost angalau vitu vya maana vya kujenga jamii, kupost biashara za watu, akapost masuala ya umuhimu wa Biashara ya Fedha ya kidigitali, post zake zote zenye tija hakupata like hata Mia moja, lakini akipost matusi Kwa Viongozi au Jambo lolote negative Watanzania utaona like na comments za kutosha.

Hivi ni Nani aliwaloga Watanzania?
Ndio maana Dr. William wa Marekani anatumia mbinu ya Kutukana na kutoa maneno makali ili kupata uungwaji Mkono. Ajabu Sana hii!

Vijana wa kitanzania Nani amewaloga?

Connection sio zakuzifurahia Sana, ipo siku hapa itatokea aibu kubwa katika taifa letu Kama tabia hii haitakomeshwa, unachekelea kuona uchi wa wanawake wengine, siku ukimuona Mama yako, au Mkeo au binti yako ndio akili itawajilia.
Kuna mambo sio yakuyachekea hata kidogo.

Oooh! Aliyemuambia ajirekodi Uchi wake Nani, kwani alirekodi kwenye siku yako, wewe uliyepost uchi usiowako ndio unapaswa uchukuliwe hatua Kali za kinidhamu.

Sijui nini kinasababisha watu Kupenda wengine wakidhalilika na kuumia. Ni roho mbaya na chuki zisizo na maana.
Vijana wenye tabia hizi muache Kwa kweli. Jaribuni kujiweka katika nafasi za wahanga. Chukulia kuwa he huyo ingekuwa Mama yako ungefurahi, au angekuwa binti yako ungechekelea na kuomba Connection ya kuuona Uchi wa Mama yako au Binti Yako. Kama mmeshindwa kuwa na UTU basi kuweni hata Waungwana.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
[/QUOT

Hii nchi ina vijana wa hovyo sana
 
Taikon pole ila endelea kupaza sauti. Mara ya kwanza kusikia hili neno nikawaga najiuliza ndo nini. Kuja kuelezewa nikashangaa sana. Kwamba mimi nikae kutafuta video za watu wakinjunjuana ili iwaje. Naenjoy nini kwa mfano.

Upande wa pili jamani haya magroup ya whatsapp. Kuna watu wako kwenye magroup 20 kidogo ukicheki ya maana labda 3 mengine yote upuuzi humo. Ndo maconnection yanasambaa humo. Ivi umewahi kujiuliza nini umuhimu wa magroup uliyokuwemo. Yamekusaidia nini mpaka leo.

Ukweli usemwe ukijiona umo kwenue group ambalo uko katika shida au dhiki ya ugonjwa, kuuguza, msiba, changamoto ya kazi na huna hata mmoja wa kumtafuta akuinue au group likuletee tija..haloooo. Tafakari mkuu...

#neemaitufikietuamkekatikahikikiza#
 
Taikon pole ila endelea kupaza sauti. Mara ya kwanza kusikia hili neno nikawaga najiuliza ndo nini. Kuja kuelezewa nikashangaa sana. Kwamba mimi nikae kutafuta video za watu wakinjunjuana ili iwaje. Naenjoy nini kwa mfano.

Upande wa pili jamani haya magroup ya whatsapp. Kuna watu wako kwenye magroup 20 kidogo ukicheki ya maana labda 3 mengine yote upuuzi humo. Ndo maconnection yanasambaa humo. Ivi umewahi kujiuliza nini umuhimu wa magroup uliyokuwemo. Yamekusaidia nini mpaka leo.

Ukweli usemwe ukijiona umo kwenue group ambalo uko katika shida au dhiki ya ugonjwa, kuuguza, msiba, changamoto ya kazi na huna hata mmoja wa kumtafuta akuinue au group likuletee tija..haloooo. Tafakari mkuu...

#neemaitufikietuamkekatikahikikiza#
Hawa vijana sasa hivi wananipopoa Kwa mawe🏃🏃🏃.
Hawajali wala nini, na Mimi lazima niende nao vile watakavyo. Dawa ya Moto ni Moto. Sijalk wala nini😂
 
Mimi nimeiona kuna best angu kanitumia tuu niangalie tumbo la uwoya. Ila mbona udhalilishaji umezidi? Huyo aliekua anarekodi ni mwanaume nadhani kwa sbb mikono ya mdadai ilikua imetulia tuu. Sasa cha kufanya ni huyo Irene aanze kwa kumshtaki huyo mwanaume why arekodi na avujishe?

Huwezi amini hakuna kitakachoendelea.
Niamini
 
Ukitaka upate followers kwenye mtandao wowote, we post tu mambo ya connection, mpalange na umbea utakamata watu sana.
 
Back
Top Bottom