Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu

Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu

Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu!

Sikuwahi kufikiria Kama kunasiku nitakuja kufanya uchawi, ila wiki ya Kwanza ndani ya mwaka mpya nimefanya. Nimemroga mtu na amerogeka. Na katika Hilo Wala sijutiii. Maana huyu jamaaa alinikera Sana.

Ugomvi wetu ulikuwa hivi, Mimi Baada ya kupigika Sana na maisha niliamua kujikita kwenye bodaboda Kama kazi yangu rasmi. Kwakuwa elimu yangu Ni kubwa na darasani wakati nasoma nilikuwa kipanga uamuzi huu umenifanya ninyoshewe vidole Sana. Wengi hasa wale niliosoma nao ambao wamenizidi kipato wamekuwa wananikebehi Sana. Nimekuwa nikiumia moyoni lakini Sina jinsi zaidi ya kupuuzia.

Sasa tarehe 24 mwezi wa 12, nikiwa kwenye heka heka zangu na boda boda,kuna gari ilinisukuma nikaanguka pembeni ya barabara. Nikiwa chini nimeumia na boda boda baadhi ya vitu vimevunjika mwenye ile gari alishuka na kuanza kunitukana.

Kilichonikera huyu jamaaa nimesoma nae, na form two ni Mimi ndie niliyemsaidia akafaulu, maana tulimkuta karudia darasa. Huyu jamaa ni mwanajeshi lakini toka aingie jeshi amekuwa na tabia za unyanyasaji Sana. Mtaani anaskendo kibao za kupiga watu.

Basi bana bila ya kujali Mimi ni classmate wake, pia bila kujali kuwa ni yeye ndie aliyenisukuma na gari yake alinishushia matusi ya nguoni na kunipiga vibao . Nilijitutumua nirudishie lakini boda boda wenzangu walinisihi nimwache. Waliniambia nikijibu mapigo ataenda kuota askari wenzake na watakuja kupiga kijiwe kizima.

Kwa Hali hio sikuwa na chakufanya. Nilivumilia matusi yote na kipigo juu. Alipoondoka nami kinyonge nilirudi nyumbani. Kwa Siku tano nilikaa ndani pasipokutoka nje, kila nilipofikiria lililotokea nilikosa nguvu. Kiukweli Niliumia Sana.

Nikiwa kwenye Hali hio jamaa yangu mmoja alifika na kunipa wazo la kulipa kisasi. Alinitaka twende kwa mganga, mwanzo nilikataa lakini Baada ya kufikiria Sana niliamua kwenda. Nilimweleza mganga Nia yangu ya kulipa kisasi akaniambia nimpelekee picha ya jamaa, mawe ya makobo na mavi ya mbuzi.

Chap ndani ya Siku mbili nilivipata hivyo vitu nikapeleka.Mganga aliniuliza nataka kisasi Cha aina gani nikamwambia chochote atakachokiona yeye kinafaaa.Aliniitaka niondoke na kuniahidi ndani ya wiki kadhaa nitapata majibu.

Leo nipo kijiweni nimepewa taarifa jamaa anawiki Moja mkono wake kulia ambao aliutumia kunipiga haufanyi kazi. Taarifa hiii imekuwa njema Sana kwangu. Kesho nimeoaga kwenda kwa mganga kumuongezea hela ila ahakikishe mkono ule usifanye kazi milele.

Sijutiii
PUISSANT CADENAS D'AMOUR_ Écris-moi sur whatsapp (.jpeg
 
Ukikosa adabu unageuzwa msukule au mke wa mtu bila kujali jinsia yako na hiyo ndiyo dunia, utabamizwa asubuhi, kuna tajiri mmoja alimdhulumu mteja wake fuso, ilikuwa hivi mkulima wa maharage baada ya kujipata akahitaji kununua fuso tandam akamfuata huyu tajiri apewe mwongozo jamaa akamwambia lete hela aitume mahala gari uletwe,

Jamaa akafanya hivyo basi gari haikuja jamaa alipouliza akauliza una ushahidi gani kwamba ulinipa hela jamaa akaenda mahakamn akashindwa kesi jamaa akamwambia kama hela yangu nilikupa utaona.
Yule tajiri figo zikafeli kipindi kile akaenda India kupandikizwa akarudi ile figo ika reject akafa familia ikafatilia chanzo cha kifo wakagundua ni uchawi jamaa akawindwa akala chuma ya kichwa, wale nao wakagundua njama watoto wa tajiri wakafa wote na mali zikaishia kugawanywa na mashemela
Duh no hatari sana mkuu haya mambo ni shida. Mahenge kule kuna mganga anaua sana yani jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa
 
Duh no hatari sana mkuu haya mambo ni shida. Mahenge kule kuna mganga anaua sana yani jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa
Kama hutojali weka majina ya kijiji alipo.
 
Ukikosa adabu unageuzwa msukule au mke wa mtu bila kujali jinsia yako na hiyo ndiyo dunia, utabamizwa asubuhi, kuna tajiri mmoja alimdhulumu mteja wake fuso, ilikuwa hivi mkulima wa maharage baada ya kujipata akahitaji kununua fuso tandam akamfuata huyu tajiri apewe mwongozo jamaa akamwambia lete hela aitume mahala gari uletwe,

Jamaa akafanya hivyo basi gari haikuja jamaa alipouliza akauliza una ushahidi gani kwamba ulinipa hela jamaa akaenda mahakamn akashindwa kesi jamaa akamwambia kama hela yangu nilikupa utaona.
Yule tajiri figo zikafeli kipindi kile akaenda India kupandikizwa akarudi ile figo ika reject akafa familia ikafatilia chanzo cha kifo wakagundua ni uchawi jamaa akawindwa akala chuma ya kichwa, wale nao wakagundua njama watoto wa tajiri wakafa wote na mali zikaishia kugawanywa na mashemela
Umenikumbusha kisa kama hiki chako, mkulima na mfanya biashara ya mazao alijikusanya akapata pesa ya kununua fuso tandamu basi kuna tajiri mmoja alikuwa na fuso za kutosha, jamaa akamwomba amuuzie moja tajiri akamwambia chagua unayotaka tufike bei, baada ya kuchagua na kukubaliana bei jamaa akamwambia atamtuma fundi wake aje akague gari,baada ya siku fundi akaja akaonyeshwa gari ila akaabiwa asimwambia jamaa yake kuwa gari ni choka mbaya na tajiri angemkatia pesa ya maana. Mwisho wa siku fundi akatoa report kwa jamaa yake kuwa gari iko njema kbs na asiwe na shaka, ikabidi jamaa alipe na gari iletwe kwake. Kilichotokea sasa gari hata kufika mkoani kwa mnunuzi haikufika ingawa ni mikoa jirani, jamaa kumwuliza tajiri mbona hivi kulikoni tajiri akaleta madharau na kumwambia biashara ilishafanyika mimi hiyo hainihusu sana sana mwulize fundi wako, jamaa kumwuliza fundi analeta story zisizoeleweka. Jamaa kuona analetewa madharau na.story za ovyo akawambia basi sawa hata hiyo gari acha iishie hukohuko hata kwangu isifike ila mtanitafuta na hamtaniona. Kilichofuata baada ya hapo ni majanga, kwanza alianza na fundi akiwa garage ndani ya dakika kidogo alipatwa na maradhi yasiyoeleweka akakata moto, habari zikamfikia tajiri ile anajiandaa kwenda kuuliza vizuri nini kimetokea macho yote mawili yakaingia ukungu na kushindwa kuona kabisa akajuwa kimenuka dawa ni kumtafuta mwamba tuyamalize tafuta mtu wapi hapatikani, tafuta mashahidi waliomsainia mwamba kwa ahadi za kupewa pesa ndefu kama wakimleta jamaa na kuahidi ku.fidia jamaa fuso mbili zaidi jamaa bado hakupatikani. End of rhe story ni kuwa fuso zote za tajiri zilipukutika moja baada ya nyingine,biashara zake nyingine zikayumba na mwisho tajiri akaja kukata moto. So hii mambo ipo tuepuke sana kufanya mambo ya dhuruma na kuzarau wengine kwa kujiona wewe ndio mwamba hamna wa kukutisha. MUNGU yupo na Shetani yupo.
 
ila kiukweli kuna watu wana roho mbaya mpk shetani anashangaa huyo mjeshi muache tu mungu atakulipa
 
Huyo mwanajeshi ni mimi,oya classmate kumbe ulinipiga kipapai nisamehe mwanangu sitarudia ntakununulia boda mpya,mkono huu utaniua
 
Fanya kila kitu ila usiue, usidhulumu, usiroge mtu. Kaa mbali na wanawake. Utakiponya kizazi chako
 
Mkuu uchawi ushirikina na mambo kama hayo hayajuagi haki na ndio maana katika imani tunashauriwa tusiitegemee uchawi kwani mwisho wake sio mzuri.

Naye akiamua kulipa kisasi basi kinakukuta hata kama hauna hatia, uchawi haujui haki.

Hapo umeingia kwenye mchezo mbaya sana omba Mungu nae apate Akili na busara, akikosa hekima kama ulivyokosa wewe unafikili nini kinafuata.

Ungesamehe tu na kuna siku huko mbeleni angekuja kukuheshimu si unajua maisha haya bado tunajifunza kuna situation tunapitia zinatukomaza na kutufunza(maturity).
Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu!

Sikuwahi kufikiria Kama kunasiku nitakuja kufanya uchawi, ila wiki ya Kwanza ndani ya mwaka mpya nimefanya. Nimemroga mtu na amerogeka. Na katika Hilo Wala sijutiii. Maana huyu jamaaa alinikera Sana.

Ugomvi wetu ulikuwa hivi, Mimi Baada ya kupigika Sana na maisha niliamua kujikita kwenye bodaboda Kama kazi yangu rasmi. Kwakuwa elimu yangu Ni kubwa na darasani wakati nasoma nilikuwa kipanga uamuzi huu umenifanya ninyoshewe vidole Sana. Wengi hasa wale niliosoma nao ambao wamenizidi kipato wamekuwa wananikebehi Sana. Nimekuwa nikiumia moyoni lakini Sina jinsi zaidi ya kupuuzia.

Sasa tarehe 24 mwezi wa 12, nikiwa kwenye heka heka zangu na boda boda,kuna gari ilinisukuma nikaanguka pembeni ya barabara. Nikiwa chini nimeumia na boda boda baadhi ya vitu vimevunjika mwenye ile gari alishuka na kuanza kunitukana.

Kilichonikera huyu jamaaa nimesoma nae, na form two ni Mimi ndie niliyemsaidia akafaulu, maana tulimkuta karudia darasa. Huyu jamaa ni mwanajeshi lakini toka aingie jeshi amekuwa na tabia za unyanyasaji Sana. Mtaani anaskendo kibao za kupiga watu.

Basi bana bila ya kujali Mimi ni classmate wake, pia bila kujali kuwa ni yeye ndie aliyenisukuma na gari yake alinishushia matusi ya nguoni na kunipiga vibao . Nilijitutumua nirudishie lakini boda boda wenzangu walinisihi nimwache. Waliniambia nikijibu mapigo ataenda kuota askari wenzake na watakuja kupiga kijiwe kizima.

Kwa Hali hio sikuwa na chakufanya. Nilivumilia matusi yote na kipigo juu. Alipoondoka nami kinyonge nilirudi nyumbani. Kwa Siku tano nilikaa ndani pasipokutoka nje, kila nilipofikiria lililotokea nilikosa nguvu. Kiukweli Niliumia Sana.

Nikiwa kwenye Hali hio jamaa yangu mmoja alifika na kunipa wazo la kulipa kisasi. Alinitaka twende kwa mganga, mwanzo nilikataa lakini Baada ya kufikiria Sana niliamua kwenda. Nilimweleza mganga Nia yangu ya kulipa kisasi akaniambia nimpelekee picha ya jamaa, mawe ya makobo na mavi ya mbuzi.

Chap ndani ya Siku mbili nilivipata hivyo vitu nikapeleka.Mganga aliniuliza nataka kisasi Cha aina gani nikamwambia chochote atakachokiona yeye kinafaaa.Aliniitaka niondoke na kuniahidi ndani ya wiki kadhaa nitapata majibu.

Leo nipo kijiweni nimepewa taarifa jamaa anawiki Moja mkono wake kulia ambao aliutumia kunipiga haufanyi kazi. Taarifa hiii imekuwa njema Sana kwangu. Kesho nimeoaga kwenda kwa mganga kumuongezea hela ila ahakikishe mkono ule usifanye kazi milele.

Sijutiii
 
Back
Top Bottom