Kwa Marumo Gallants FC niliowaona leo kuna Timu itafungwa kwao umeme kukatika Stadium na South Africa pia

Kwa Marumo Gallants FC niliowaona leo kuna Timu itafungwa kwao umeme kukatika Stadium na South Africa pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?

Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
 
IMG_20230429_200918.jpg
 
Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria ( japo Ulibahatisha ) Kumfunga Kwao ( huku Wewe leo ukiwa Nyumbani ) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?

Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
Hivi mbona unateseka hivyo??
Mbona tushakuzoea ulishSemaga yanga hawataingia makundi,
Leo hii unasema itafungwa tena.
Hivi Huna chakufanya?? Hivi broo kweli una kazi??ulishaachaga kushinda karume??nakujua fika hunipi tabu,utawasumbua hao wasiokujua sio mimi professor,
Na hao watu waliokupa ushindi kweli nao hawajielewi
 
Back
Top Bottom