Kwa Marumo Gallants FC niliowaona leo kuna Timu itafungwa kwao umeme kukatika Stadium na South Africa pia

Kwa Marumo Gallants FC niliowaona leo kuna Timu itafungwa kwao umeme kukatika Stadium na South Africa pia

Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?

Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
Bahati nzuri umechagua upande mapema atutaki Malumo wako wakipelekewa moto uanze kusema ni timu dhaifu, tunajua mna stress sana lakini ndio maisha ukichagua boga inakubidi upende na ua lake
 
Le Dr popoma upo omba Kaz wew must acha kuandiak upopo hapa
 
Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?

Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
wape kila ushirikiano yanga haijali

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Utopolo mmedandia mtumbwi wa vibwengo....
 
Kwenye ukweli tuusemee hata km unaumiza.

Yanga kufika final ni lazima, tena akichanga karata vizuri ananyanyua kwapaa.

Ktk team zote zilizoingia Semi yenye uhakika wa kutwaa kombe ni hii Yanga, labda km final ataingia FAR Rabbat hapo atapata ugumu kidogo.

Ila ukweli ni kwamba Yanga Final ni lazima.
 
Kwenye ukweli tuusemee hata km unaumiza.

Yanga kufika final ni lazima, tena akichanga karata vizuri ananyanyua kwapaa.

Ktk team zote zilizoingia Semi yenye uhakika wa kutwaa kombe ni hii Yanga, labda km final ataingia FAR Rabbat hapo atapata ugumu kidogo.

Ila ukweli ni kwamba Yanga Final ni lazima.
Natambua Mafanikio ya Yanga SC na hata Wao Wakiongozwa na Rafiki yangu mkubwa sana hapa JamiiForums Bila bila Wanajua na Wiki iliyopita niliandika Uzi hapa wa Kuwasifia.

Ninachofanya hapa ni Kuwachokoza tu wana Yanga SC na Kuwatania ili nao Wanitanie na wanipige Madongo yao ili Nicheke na Kiukweli Comments zao hapa zinanifanya nicheke mno.

Ni mwana Simba SC Mpumbavu tu pekee ndiyo atabeza Mafanikio haya ya Yanga SC hata kama anashiriki Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) ila Ukweli ni kwamba Yanga SC jana kwa Kufuzu Kwao Nusu Fainali ya CAFCC Wameiheshimisha nchi na Wametuheshimisha na Watanzania Wote ( wana Simba SC ) tukiwemo pia.

Hongera Kwao.
 
Kosa ubishane hoja za mpira unaanza matusi , tubadilike kwani lipi kosa la mtoa maada?
Natukanwa mno na sana na Wapumbavu pamoja na Wendawazimu wengi hapa JamiiForums kwakuwa tu Mwenyezi Mungu ameniumba kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mkuu wangu.
 
Back
Top Bottom