Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba ako pungaSawa Punga langu Mwandamizi JF.
Marumo Siyo saizi ya YangaNitakunya Tegeta Nyuki hadi Mbagala Rangi Tatu.
Hajamzidi Babaako.Baba ako punga
Hadi Ikulu.
Post # 23 ulii skip kusoma ndio maana.Akili ndogo, ndiyo mnavyowaza.
Hawa waSouth watapokea kipigo kikubwa saaana kutoka kwa Yanga. Ukumbuke kuwa hao jamaa muda huu wanapigania kutokushuka daraja kwenye ligi yao ambayo kwa ranking za CAF unashika nafasi ya chini kulinganisha na ligi ya kwetu. Sasa Yanga anaongoza (na anatarajia kuwa bingwa) kwenye ligi kubwa anapambana na timu inayopigana isishuke daraja kwenye ligi ndogo, what do you exoect?Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?
Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
Dua la kuku halimpati mwewe ! Pole sana Mr robo + robo + robo+ robo = 1 kg. Ukiona unaanza kuota ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi.Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?
Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
Hangaika tu na roho yako Yanga Ile inaleta kombe la shirikisho linakuja kuwaheshimisha Watanzania ukiwemo wewe.Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?
Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
**** la.mama akoooHajamzidi Babaako.
Nawe pia pamoja na Koo zako zote Mbili.**** la.mama akooo
UnatombwaNawe pia pamoja na Koo zako zote Mbili.
Kama Aliyekuzaa.Unatombwa
Naona mmeanza kuwakimbia wafa kiume wenu kisanyansi.Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC?
Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa Limpopo inakotoka Klabu ya Marumo Gallants kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki wao Tukuka na ikitokea wakaja Kutalii hivi Karibuni nchini Tanzania hasa kwenye Vyura Wengi wa Jangwani nawaahidi nitawapa Ushirkiano wote ili wakirejea Kwao wawe na Furaha ya Kukamilisha Jambo lao katika Ardhi ya Tanzania.
Sasa apa ndo umeongea kama mkomavu wa soka letu ninavyokufahamu kupitia nyuzi zako humu. Big upNatambua Mafanikio ya Yanga SC na hata Wao Wakiongozwa na Rafiki yangu mkubwa sana hapa JamiiForums Bila bila Wanajua na Wiki iliyopita niliandika Uzi hapa wa Kuwasifia.
Ninachofanya hapa ni Kuwachokoza tu wana Yanga SC na Kuwatania ili nao Wanitanie na wanipige Madongo yao ili Nicheke na Kiukweli Comments zao hapa zinanifanya nicheke mno.
Ni mwana Simba SC Mpumbavu tu pekee ndiyo atabeza Mafanikio haya ya Yanga SC hata kama anashiriki Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) ila Ukweli ni kwamba Yanga SC jana kwa Kufuzu Kwao Nusu Fainali ya CAFCC Wameiheshimisha nchi na Wametuheshimisha na Watanzania Wote ( wana Simba SC ) tukiwemo pia.
Hongera Kwao.