ContinousImprovement
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 290
- 272
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini sio kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM, Nashauri Zitto na Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla wagombe urais na umakamu wa rais nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na backup ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. kubali uwe Makamu wa Rais, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba other wise msije kuwalaumu watanzania.
Obviously. Anasema mmoja agombee urais na mwingine umakamu. Sijui kati ya Lissu na Zitto nani anatoka Bara na nani anatoka Visiwani? Kama hakulijua hili, basi obviously Technically anavuta bhang! Au niongeze sauti?Do you smoke banghi?
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
kwa utapeli ule wa UKAWA hawa upinzani sio watu wa kuaminika kabisa, wanahitaji muda zaidi kujijenga kisera na kiitikadi. Safari ya matumaini kupitia UKAWA ilizisambaratisha kabisa CUF na NCCR mageuzi. Mpaka leo hakuna kiongozi aliesimama kuongeleea ile sinema na hatma ya UKAWA. Kati ya Lisu na Kabwe hakuna mwenye mvuto wala sifa ya kuwa rais wa JMT. Hapa ndio atakumbukwa dr SlaaNajua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Me niko baa nakunywa kidogo nitarudi
Jamaa unawaza masiasa tu 24/7..Tafuta kitu cha kufanya mkuu..Halafu hata uelewa tu mdogo wa vitu vidogo kuhusu katiba yetu hujui..@pascalmayala ulijishusha sana kumpa airtime huyu
Zitto, mchukueni Membe tumng'oe Ngosha
Membe siyo kama EL, Membe amesimama kuhesabiwa alipokuwa ndani ya CCM
Membe ameshajiandaa, ana machinery yake ya uchaguzi anahitaji kupewa backup ya kitaasisi
Membe ana vigezo na sifa wa kuwa rais mzuri, amepikwa kiuongozi, amepikika
Wanaweza kuwa ma rais wazuri tu,Zitto anaweza kuwa bora zaidi kuliko Lissu katika maswala ya uchumi na haki za binadamu.
Lissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?
Hapa ndipo sehemu muhimu sana ambapo wapinzani huwa wanakosea,huwa wanafeli kwenye uchaguzi wa nani anaweza kuaminiwa na wapiga kura.
Kuna wakati wanaweza wakachanganya bifu za ndani ya chama wakaacha mtu sahihi wakachukuwa asiye sahihi kwasababu tu ndani ya chama waliwahi kukwazana,hapa wanafeli.
Ukweli ni kwamba Zitto ni anaushawishi zaidi kwenye nafasi ya urais kuliko Lissu.
Swala la Lissu kushambuliwa kwa risasi lisitumike vibaya.Kushambuliwa kwa Lissu kwa risasi hakuwezi kupelekea huruma kwa wananchi ya Lissu kupigiwa kura zakutosha.
Mimi sijachagua Zitto ila Lissu kwenye kinyang'anyiro hatafika popote.
Tafuteni mtu ambaye ataleta changamoto kwa CCM.Habari za mabifu ndani ya chama ziwekeni pembeni kwani hazitawasaidia.
Membe alikuwa anaushawishi kuliko wote(Zitto@Lissu) lakini kwa alichowafanyia Lowassa sidhani kama wananchi watamuamini tena Membe.
Amesema waungane mmoja awe Rais mwingine waziri mkuu..hivyo hajasema mmoja awe makamu wa RAISLissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?
Majitu yanajilopokea tu. Mleta uzi ni mtupu lakini hajijuiLissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?