Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Yaani kumbe na wewe ni kiazi namna hiiNaunga mkono hoja, this is a good combination
P
God save us
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kumbe na wewe ni kiazi namna hiiNaunga mkono hoja, this is a good combination
P
Ushawishi wa Membe dhidi ya Lissu na Zitto sio wakupapasa.Itizame CCM kisha tizama upepo wa Membe kwenye kinyang'anyiro cha 2015.Mkuu bila kupinga maelezo yako mazuri, unasema kuwa Zito ndio anayefaa na iwapo Lissu atachaguliwa hatafika popote! Uko serious kweli. Ni kweli Zito ni mzuri, lakini sitaki kuamini eti ni mzuri sana, na Lissu hawezi kufika popote. Hapa naona kwako ni mahaba niue kwa Zito. Niliwahi kusema huko nyuma, kuwa Zito ni mzuri kwenye kujenga hoja, na hata akiwa rais atakuwa rais mzuri kwani amebalance kwenye uchumi, demokrasia na hata kijamii, ila chama chake kina ushawishi mdogo. Lissu ni mjenga hoja mzuri na ana mvuto mkubwa, ila tatizo lake naona atajikita zaidi kwenye mifumo ya kisheria, hatimaye tukajikuta tuna tatizo la sasa la rais anayejali miundombinu tu na kusahau mengine. Ifahamike Lissu yuko kwenye chama chenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa wengi wanaopenda siasa za upinzani.
Kwa taarifa yako iwapo Lissu atagombea kupitia cdm, na Zito kupitia ACT, ni dhahiri Lissu atapata kura nyingi tena kwa mbali kuliko Zito, kutokana na nguvu ya vyama vyao. Ila kiukweli Zito anaweza kuwa rais mzuri kuliko Lisu kutokana na sababu nilizotaja hapo juu.
Nimeangalia hapo uliposema kuwa Membe ana ushawishi kuliko Zito + Lissu. Sijui umetumia kigezo gani. Ukitaka kujua Membe ana mvuto au hana, asiende cdm ambayo tayari ina uungwaji mkono mkubwa, aende ACT, TLP au TADEA kisha uje utoe mrejesho hapa jukwaani.
Ame edit kuna mtu ka tag hilo bando kabla haja editAmesema waungane mmoja awe Rais mwingine waziri mkuu..hivyo hajasema mmoja awe makamu wa RAIS
Sawa sawa...Ame edit kuna mtu ka tag hilo bando kabla haja edit
God save us
Sasa wewe naye usiwe mjinga! Watu tuko humu 24/7, mleta uzi amehariri post yake ya mwanzo, yaani ame-edit content ya maoni yake ya mwanzo.
Ushawishi wa Membe dhidi ya Lissu na Zitto sio wakupapasa.Itizame CCM kisha tizama upepo wa Membe kwenye kinyang'anyiro cha 2015.
Ila sishauri ku change gia angani kwani kurudi kwa Lowasa CCM kumeacha jeraha kwa wananchi kiasi ambacho Membe hawezi kuaminika tena.
Hata hivyo mimi sijasema Zitto awanie uraisi,ila nimesema ZZK ni bora kuliko Lissu ila nivema akapatikana kiongozi makini zaidi kuufanya uchaguzi ujao kuwa mwepesi.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Uchaguzi wa 2015, mbowe alisema msiposhinda itawachukua miaka 100 kuna kushinda! Sasableo imepita mitano tu mnataka mshinde? Hamumuamini mbowe?Hata mm nililiona hili ila Uzi wangu ukafutwa ila mm niliongeza nyama nilitaja mpaka mawaziri nilipendekeza.
Hapa nakubaliana na wewe, wanasiasa wengi wa CCM hawawezi kupambana nje ya mfumo wa dola! Dola kwao ndio kila kituHuu ushauri ndio cdm waliuavaa mkenge wa Lowassa. Sikatai ACT kumchukua Membe maana bado inajijenga hivyo inaweza kujaribu lolote. Lakini sishauri wapinzani wengine hasa cdm kukubali Membe kuwa mgombea wa upinzani wote. Hao watu toka ccm hawana uwezo wowote wa kufanya siasa nje ya mbeleko za vyombo vya dola. Ni vyema tume huru ya uchaguzi ikadaiwa kwa nguvu zote, kisha wapinzani wachague mtu aliye kwenye upinzani na sio kuokota hao wachovu toka ccm.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Wewe ndio umekurupuka, hiyo post kai-edit baada ya kuona anakosolewa na ndio akaweka waziri mkuu!Kuna watu wamekurupuka eti Technically hajui katiba, Tundu kuwa Rais na Zitto kuwa waziri mkuu amekosea wapi hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa mnaona nini kwa huyo mzee Duni, uzanzibar tu au kuna kingine..Katiba hairuhusu hicho ulichopendekeza.
..Raisi na Makamu wanatakiwa watoke pande tofauti za muungano.
..Raisi akitoka Tanganyika / Tz bara Makamu anatakiwa atoke Zanzibar. And vice versa.
..Zitto na Juma Duni wanaweza kugombea kama Raisi na Makamu.
..Tundu Lissu na Juma Duni pia wanaweza kugombea.
NB.
..Waziri Mkuu atatokana na chama chenye wabunge wengi.
..Waziri Mkuu pia anaweza kuwa ni mbunge anayeungwa mkono na wabunge wengi. Nadhani framers waliangalia mazingira ambapo hakuna chama chenye clear majority bungeni.
..Spika anaweza kuchaguliwa miongoni mwa wabunge, au anaweza kutoka nje ya bunge ilimradi apigiwe kura na wabunge wengi.
Mkuu umesoma vizuri bandiko hapo juu? Mleta mada hajasema Zitto awe Makamu wa Rais baada ya uchaguzi bali awe Waziri Mkuu...Hawawezi kugombea pamoja kwa katiba hii ya sasa. Mmoja anapaswa kuwa mzanzibar.
Acha kupotosha ni ibara ipi inasema mmoja lazima awe mzanzibar.Hawawezi kugombea pamoja kwa katiba hii ya sasa. Mmoja anapaswa kuwa mzanzibar.
Sasa wewe naye usiwe mjinga! Watu tuko humu 24/7, mleta uzi amehariri post yake ya mwanzo, yaani ame-edit content ya maoni yake ya mwanzo.
Binafsi I have nothing personal against mleta uzi lakini ni kweli mwanzoni alisema mmoja agombee urais mwingine umukamu wa rais.
Sasa kwenye haya mambo kutokujua ni jambo la kawaida,binafsi najifunza mambo mapya kila mwaka. Pamoja na maisha magumu, siku zote huwa najitahidi kusoma vitabu na news articles, vinanijenga.
Halafu ni wazi, si kila mtu humu ni constitutional law expert au political scientist. Tukubali makosa, edit haisaidii.