M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
nili comment kabla hajai edit post.Zitto kaoa Zanzibar labda keshakuwa mzanzibar
In God we Trust
originally alisema mmoja awe rais mwingine awe makamu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nili comment kabla hajai edit post.Zitto kaoa Zanzibar labda keshakuwa mzanzibar
In God we Trust
Okaynili comment kabla hajai edit post.
originally alisema mmoja awe rais mwingine awe makamu!
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Una maanisha chadema waungane na ACT?Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Nilikusoma hapo ndio maana nikasema mwenye uzi ni mweupe kichwaninili comment kabla hajai edit post.
originally alisema mmoja awe rais mwingine awe makamu!
Waziri Mkuu anatokana na chama kinachokuwa na wabunge wengi. Hivyo kushinda urais si guarantee ya kuunda serikali.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Mbona jamaa kasema zito akubali kuwa waziri mkuu, which means jamaa kajua hawezi gombea umakam raisi. Amesema zito na lissu waungane just kutia nguvu, kutogawa kura nk, ko inaweza ikawa chama cha zito kikatoa mgombea mwenza, then baada ya kushinda zito anakuwa waziri mkuu. Mbona jamaa yupo clear halafu mna mbully kwamba haelewi katiba mara nini, kumbe nyie ndio hamjasoma vizuri...Katiba hairuhusu hicho ulichopendekeza.
..Raisi na Makamu wanatakiwa watoke pande tofauti za muungano.
..Raisi akitoka Tanganyika / Tz bara Makamu anatakiwa atoke Zanzibar. And vice versa.
..Zitto na Juma Duni wanaweza kugombea kama Raisi na Makamu.
..Tundu Lissu na Juma Duni pia wanaweza kugombea.
NB.
..Waziri Mkuu atatokana na chama chenye wabunge wengi.
..Waziri Mkuu pia anaweza kuwa ni mbunge anayeungwa mkono na wabunge wengi. Nadhani framers waliangalia mazingira ambapo hakuna chama chenye clear majority bungeni.
..Spika anaweza kuchaguliwa miongoni mwa wabunge, au anaweza kutoka nje ya bunge ilimradi apigiwe kura na wabunge wengi.
Mbona jamaa kasema zito akubali kuwa waziri mkuu, which means jamaa kajua hawezi gombea umakam raisi. Amesema zito na lissu waungane just kutia nguvu, kutogawa kura nk, ko inaweza ikawa chama cha zito kikatoa mgombea mwenza, then baada ya kushinda zito anakuwa waziri mkuu. Mbona jamaa yupo clear halafu mna mbully kwamba haelewi katiba mara nini, kumbe nyie ndio hamjasoma vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😆😀watu mmefuzu kozi za kukatisha tamaa wenzenuNa 'back-up ya nguvu ya umma' unamaanisha ww mwenyewe ndio umma! Kuna watu mnaota ndoto za mchana eeh! Wasaliti hao wa nchi yetu na makuadi wa mabeberu na mashoga wapewe nchi gani? Au unamaanisha kipande cha ardhi cha ekari moja cha kulima huko kijijini kwenu eeh!?
Kwa hii katiba ilivyo mbovu ukiwa rais unafanya chochote hata kinyume cha sheria, na hakuna atakayekufanya chochote. Ukiona rais wa nchi hii anaitii katiba ujue ni muungwana tu, na sio kuwa anaiheshimu katiba. Ushahidi wa hilo umepatikana sasa baada ya Magufuli kuwa rais, kiasi kwamba Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanasikitika kwanini hawakufanya lolote wapendalo, huku katiba ikiwa haina meno yoyote dhidi ya rais.
Ukishakuwa rais hata ukiwa na mbunge mmoja, unaunda serikali, na watu wanahama vyama vyao kisha wanaigiza kukuunga mkono, halafu wewe unatumia madaraka yako kuwapa ubunge kwa ubabe. Haya tuneyashudia sasa kwenye nchi hii. Nadhani umeona uchaguzi wa SM za mitaa na kile kilichotokea, kwenye nchi ambayo kabisa katiba inafuatwa ule uhuni wa wazi ungeuuona?
kuvunja muungano ni kati ya hiyo misimamo..Babu Duni ana misimamo isiyoyumba ndio maana amekuwa akiaminika ktk nafasi hiyo. Tafuta historia yake utaelewa kwanini nasema hivyo.
kuvunja muungano ni kati ya hiyo misimamo
Basi humjui babu duni wewe, Duni anaamini katika Zanzibar yenye mamlaka kamili (Kama ilivyokuwa kabla ya mwaka 1964 April)..kuvunja muungano wa serikali 2 na kuunda muungano wa serikali 3.
I agreeNajua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Acha kukurupuka ,kasema Zito awe waziri mkuu hajasema awe makamu.Lissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?
Kasema rais na waziri mkuu, soma vizuri acha kukurupuka na kujifanya mjuaji.MTU MZIMA huwezi fikiri Zitto na Lissu waweza kuwa rais na makamu wake... HUWEZI!!
Alafu unawezakuta huyu chalii ni mwalimu...