Kwa maslahi mapana ya taifa, Zitto ungana na Tundu Lissu tuchukue nchi

Ushawishi wa Membe dhidi ya Lissu na Zitto sio wakupapasa.Itizame CCM kisha tizama upepo wa Membe kwenye kinyang'anyiro cha 2015.
Ila sishauri ku change gia angani kwani kurudi kwa Lowasa CCM kumeacha jeraha kwa wananchi kiasi ambacho Membe hawezi kuaminika tena.
Hata hivyo mimi sijasema Zitto awanie uraisi,ila nimesema ZZK ni bora kuliko Lissu ila nivema akapatikana kiongozi makini zaidi kuufanya uchaguzi ujao kuwa mwepesi.
 
Soma paragraph ya 2 kutoka mwisho ya mleta hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe naye usiwe mjinga! Watu tuko humu 24/7, mleta uzi amehariri post yake ya mwanzo, yaani ame-edit content ya maoni yake ya mwanzo.

Binafsi I have nothing personal against mleta uzi lakini ni kweli mwanzoni alisema mmoja agombee urais mwingine umukamu wa rais.

Sasa kwenye haya mambo kutokujua ni jambo la kawaida,binafsi najifunza mambo mapya kila mwaka. Pamoja na maisha magumu, siku zote huwa najitahidi kusoma vitabu na news articles, vinanijenga.
Halafu ni wazi, si kila mtu humu ni constitutional law expert au political scientist. Tukubali makosa, edit haisaidii.
 
Naunga mkono hoja,

Act waachiwe znz na ACT waiachie Tanganyika isopokuwa majimbo ya viongozi tu
 

Ushawishi wa Membe ni huko huko ccm, hivyo apambane akiwa huko huko ccm. Hana ushawishi wowote nje ya ccm. Ni kweli Zito ni bora kuliko Lisu kwa upana wake, hata mimi sina ubishi na hilo. Ila kwa ushawishi alionao Lissu, ana nguvu kuliko Zito. Zito bado yuko kwenye chama chenye ushawishi mdogo, ili Zito apate uungwaji mkono hasa huku bara, hana jinsi zaidi ya kuwapata washabiki wa wapiga kura wa cdm.
 

Why not Tundu Lisu aungane na zitto?

Tundu Lissu ana kipi cha raia kumpa kura? Au kura za huruma??

Acheni utani

We warnes you kufukuza wale watu CDM ndio lilikuwa kaburi, mkatetea na kujiona wanababe

CDM imwombe zitto, na sio zitto ajilete.
 
Hapa nakubaliana na wewe, wanasiasa wengi wa CCM hawawezi kupambana nje ya mfumo wa dola! Dola kwao ndio kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninacho wapenda hu mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani act ni chama cha upinzani? Tuanzie hapo kwanza
 
Wakiungana hao, mi nakuambia patachimbika, ushindi asbh tu. CCM wamegeuza Nccr ndio kichaka cha kujifichia Tume huru. .Nawashauri chadema na ACT waendelee kukaza hivyo hivyo
 
Hivi huwa mnaona nini kwa huyo mzee Duni, uzanzibar tu au kuna kingine
 
Usiye mjinga, kama ameosha edit tatizo lako ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…